FA Cup: Man U vs Everton

FA Cup: Man U vs Everton

hihihiiiiiiiiiii hohohohoooooooooo uhuhuhuuuuuuuuuuuuuuuuu.... hhh
 
Teh teh teh teh... Nachekelea tu.

Namsubiri Icadon tu

Si unajua washabiki wa man utd wakifungwa,kimyaaaaa! Ila wakishinda hakulaliki..
Anyway man utd wafocus uefa na pl...

Vp chelsea mtawaweza everton?!!
 
SAF anafungua BIG G nyingine 🙂 Ama kweli mdharau mwiba mguu huota tende!!! Sijui SAF alikuwa anafikiria nini kuwapanga chipukizi katika mechi muhimu kama hii.

Naona walijitahidi hao chipukizi; mi nashangaa wapigaji wa penalty kwa nini asiwatangulize akina macheda wafungaji wazuri anawatanguliza akina Ferdinand?

Makombe ndio yanakwenda hivi hivi!
 
Si unajua washabiki wa man utd wakifungwa,kimyaaaaa! Ila wakishinda hakulaliki..
Anyway man utd wafocus uefa na pl...

Vp chelsea mtawaweza everton?!!
Karibu hapahapa siku ya tukio. Teh teh teh!

Subirini Arsenal wawaharibie kwenye UEFA muone makombe yanavyoondoka kimtindo!
 
Haya nimepata salamu zako unasemaje? Huyu Berba naye ni waste of money bora wamuuze yeye na Ronaldo aletwe Kaka.
Teh teh teh

Natamani nikukabidhi hii pc unisaidie kujiandikia ujumbe uupendao wewe!

LoL, mmekandamizwa mpwa! Pole, ndo hivi mnaanza kuonja machungu ya kukosa!
 
leo kweli man utd, na ferguson wamechemsha! labda anawapumzisha akina ronaldo na rooney specially kwa ajili ya hayo makombe mengine "MUHIMU ZAIDI"
 
Makombe ndio yanapungua hivi hivi ...

Watu weweeeeeeeeeeeeeee.Tatizo jana umechonga sana mtu wangu,ukajisahau kabisa kwamba na wewe leo unatakiwa kuvuka mto wenye MAMBA wakali....Lol.Na bbaado
 
leo kweli man utd, na ferguson wamechemsha! labda anawapumzisha akina ronaldo na rooney specially kwa ajili ya hayo makombe mengine "MUHIMU ZAIDI"
Leo nacheka ki-Chelsea. Poleni wapwa zangu, manake hata wale watoto wa Arsenal watawaharibia ile mbaya.

Si mchezo
...

Teh teh teh teh
 
Haya nimepata salamu zako unasemaje? Huyu Berba naye ni waste of money bora wamuuze yeye na Ronaldo aletwe Kaka.

Heheeeeeeeeeeeeee,yashakuwa hayo Mpwa.Poleni sana,sie maumivu ya jana yashapoa kimtindo
 
Karibu hapahapa siku ya tukio. Teh teh teh!

Subirini Arsenal wawaharibie kwenye UEFA muone makombe yanavyoondoka kimtindo!

Haina shaka,tutakuwa wote live JF!..
Ila Arsenal wakipata kombe hata moja siyo mbaya, Wenger afurahi kidogo na vijana wake!..Tugawane ushindi, ha ha

Haya mwana-chelsea asante kwa JF live coverage!

Pamoja!
 
Heheeeeeeeeeeeeee,yashakuwa hayo Mpwa.Poleni sana,sie maumivu ya jana yashapoa kimtindo

Haha, niko nimeamka naangalia Chuck ata mpira sijaangalia, kuna deal la kumuuza Ronaldo kwa 70 million pounds na kumleta Kaka, sasa wa muongezee na Berba.
 
Teh teh teh

Natamani nikukabidhi hii pc unisaidie kujiandikia ujumbe uupendao wewe!

LoL, mmekandamizwa mpwa! Pole, ndo hivi mnaanza kuonja machungu ya kukosa!

Haha nyie uwa mkifungwa huonekani hapa, unafanya JF maintainence.
 
Haha, niko nimeamka naangalia Chuck ata mpira sijaangalia, kuna deal la kumuuza Ronaldo kwa 70 million pounds na kumleta Kaka, sasa wa muongezee na Berba.


....Cough, Cough koh-ho kohooo...
dah, hiki kifua...mnh 🙂...

Vipi tena? kumetokea nini hapa? ...matokeo yakoje mpaka dakika hii huko WEMBLEY? 🙂
 
_45679945_everton466.jpg


The Toffees celebrate at Wembley after beating United in a penalty shoot-out

By Phil McNulty
Chief football writer at Wembley

Everton won a penalty shoot-out at Wembley to wreck Manchester United's hopes of an historic haul of five trophies and seal an FA Cup final date with Chelsea... MORE
 
_45679945_everton466.jpg


The Toffees celebrate at Wembley after beating United in a penalty shoot-out

By Phil McNulty
Chief football writer at Wembley

Everton won a penalty shoot-out at Wembley to wreck Manchester United's hopes of an historic haul of five trophies and seal an FA Cup final date with Chelsea... MORE

..afu pia UEFA sio kwamba watatoboa.Man-u mna kazi!
 
Back
Top Bottom