Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Umeisha baba..Jisalimishe tu mkuu *Kiroho Sayona* na kwenye nyumba ya ibada uende ukatubu
 
Yeah! kiujumla haka kalugha ni janga la taifa mkuu kwa hiyo hawa mabint inabidi wapunguze hii mambo la sivyo tutaumizana macho humu.
natamani kumwambia nampenda lakini naogopa asivunje Yai
 
Thread nyingine zinatia hasira sana!! sasa ndugu yangu tukupe msaada gani? wakati mnabanjuana ulituomba msaada?
Kulikuwa na umuhimu gani wa ku quote thread? Si ungeandika tu coment yako? Kwan watu hawajui kwamba sote tinacoment kujusu hiyo thread? Kujaza pages tu. Mfyuuuuu
 
natamani kumwambia nampenda lakini naogopa asivunje Yai
....hahahaha.......mchane tu mkuu, ukiona anakuvunjia yai na ww tupia hata kabroken si unajua zile za morning talk enzi hizo?
 
Yes dear inatia hasira sana ... He knew from the beginning that he is married .. Hata kama Huyo mama hakuwa mke wa mtu still he wasn't suppose to go and approach other women since he has a wife at home ... Kwa kweli hizi Ndoa ni tabu sana aaggghhrrr.. Kama hatuko tayari and don't know the meaning of marriage why married ? Aggrrrrhhh... Thanks..

Dont get angry over this, I understand there is no justification for what this married man did.
Most of us are not disciplined when it comes to commitments, marriage vows and even to simple daily decision-making.
The only reason this guy is seeking for the advise is because the other husband has discovered the adultery of his wife.
He is not sorry for failing to keep his marriage vows to his wife. He has been taught to be afraid and not responsible for his action.
Unless he changes that type of thinking, then all these bunch of advises will do good to him.
God have mercy on us.
 
Neno lipo wazi kwa kila mtu na ni lazima litimie. Mshahara wa dhambi ni mauti. Fanya toba ya KWELI ili Mwenyezi MUNGU akusamehe kwa neno lake; ijapokuwa dhambi zenu ni nyekundu sana zitakuwa nyeupe kama theruji.
 
Dont get angry over this, I understand there is no justification for what this married man did.
Most of us are not disciplined when it comes to commitments, marriage vows and even to simple daily decision-making.
The only reason this guy is seeking for the advise is because the other husband has discovered the adultery of his wife.
He is not sorry for failing to keep his marriage vows to his wife. He has been taught to be afraid and not responsible for his action.
Unless he changes that type of thinking, then all these bunch of advises will do good to him.
God have mercy on us.
Very true for what you have wrote.. I agreed... If the other woman's husband asingegundua I doubt it kama angestop ... Anyway atupe feedback ..Thanks..
 
Nilijiunga Facebook muda kidogo kama miaka 6 sasa na kipindi chote nimekutana na watu mbali mbali ila sikuwahi kuwa na tamaa na mwanamke wa Facebook kwa maana ya mkumtongoza mwanamke Fb mpaka ilipotokea kwa huyu.

Huyu Dada hata sijui ilitokeaje tukawa marafiki Fb tukajikuta tuaanza kuchati mazungumzonya kawaida kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kuona mazungumzo yanahama nakaa najaribu kuonesha heshima maana ilikuwa kanizidi umri kidogo tukabadirisha namba za simu sikuwa najua kama kaolewa na hakuniambia ila mie alijua na make kwani aliona picha Fb.

Tukapanga tuonane siku moja Mungu sio Jecha wala Lowasa ikatokea siku tukaonana katika maongezi na hapo kaishanipuna Savannah sijui nyama choma tukajikuta tupo hoi ndio ananiambia ni mke wa mtu nikajisemea lazima nimtafune kaishanitia hasara nikamgegeda lakini nafsi ilinisuta sana nikiona namsaliti wife ambae yeye nina uhakika ni muaminifu na hata siku hiyo angekuwa makini angegundua hiyo ikapita tukakaa muda mrefu story ni kwenye Fb tu maana simu ni kimeo wenza wetu wangeweza kutustukia.

Sasa juzi juzi ilikuwa Jumapili wife kaenda kwenye issues zake huyu mama kanipigia akaniuliza nipo wapi nikamwambia home akaniambia nimfate sehemu ni kawa sina ujanja kwenda nakuta kaishalipia chumba na kaagiza mbuzi katoliki na Pepsi baridi nikala na nikamgegeda vizuri sana mpaka akadata.

Sasa tatizo amekuwa msumbufu akidai Mzee wake hamfikishi vizuri na mambo kibao, na toka juzi kuna namba ilinitumia sms ikidai imekuta sms kwenye namba ya mke wake anataka kukua mie ni nani sikuijibu nichofanya ni kumblock Fb huyu dada na kwenye simu ila mpaka anafanya hivyo,
nilikuwa nimeshapigiwa simu sana sikupokea maana sijui nitaongea nini alichosema atahakikisha ananidaka sasa nahofia kufanyiwa kitu ile Mungu hapendi au kurogwa maana huyu jamaa ni Msukuma.

Naombeni ushauri jamani nipo kwenye wakati mgumu,nifanyeje.
Aisee wewe wakirige na wakufanyie huo mchezo mbaya you deserve it ........
 
Subiri kufa tu maana hakuna namna nyingine, ungeomba ushauri kabla hujazini naye
 
....hahahaha.......mchane tu mkuu, ukiona anakuvunjia yai na ww tupia hata kabroken si unajua zile za morning talk enzi hizo?
nakumbuka sana mkuu maana nilikuwa nikiongea kikristo mpaka nikajupatia binti ingawa nilikuwa muoga.
 
Toka Jana nimeanza maombi na kufunga naona hata speed ya jamaa kunipigia imepungua
Wewe hata ufunge mwaka mzima nimekuambia nitakukamata tu....mke anauma sana,lazima nanihii yako niihamishie nyuma mwaka huu ili ukome kabisa......abhagalu tutalemelagwa...
 
Wewe hata ufunge mwaka mzima nimekuambia nitakukamata tu....mke anauma sana,lazima nanihii yako niihamishie nyuma mwaka huu ili ukome kabisa......abhagalu tutalemelagwa...
Hahahaha hivyo unavyofikiria huwezi na ukija kichwa kichwa na ww nakufanya vibaya
 
Pole sana, shetani ndo alishakuzidi nguvu, cha kufanya kwanza kaa ukumbuke aina ya msg ulotuma kwa huyo dada ukishakumbuka, mpigie huyo dada kumfahamisha kama anaifahamu hiyo namba ila mpigie huyo dada kwa namba nyingine na sio hiyo yako mlozea kuwasiliana, na ikiwezekana tumia mwanamke aanze kuongea nae kwanza akiwa free ndo uongee nae, ukishajiridhisha ni mumewe na msg alizokuta ukishazikumbuka mpigie jamaa na umsikize anachotaka kuongea, na jaribu kumuelewesha kulingana na msg unaweza ukajitetea kwa kusema kuwa ni mkeo ndio alieanzisha hayo mawasiliano na pia hakusema kama ameolewa na pia sijawahi kufanya nae kitu chochote, YANI USIJE UKAJIDANGANYA KUSEMA UMEFANYA UMEKWISHA, BISHA GOMA HATA UKILETEWA PICHA BISHA, Na pia jishushe kwa jamaa muombe msamaha sana, na umueleze ushadelete kila kitu na hutaki hata kumsikia, na UACHE USALITI WAKO.
 
Back
Top Bottom