Pole sana, shetani ndo alishakuzidi nguvu, cha kufanya kwanza kaa ukumbuke aina ya msg ulotuma kwa huyo dada ukishakumbuka, mpigie huyo dada kumfahamisha kama anaifahamu hiyo namba ila mpigie huyo dada kwa namba nyingine na sio hiyo yako mlozea kuwasiliana, na ikiwezekana tumia mwanamke aanze kuongea nae kwanza akiwa free ndo uongee nae, ukishajiridhisha ni mumewe na msg alizokuta ukishazikumbuka mpigie jamaa na umsikize anachotaka kuongea, na jaribu kumuelewesha kulingana na msg unaweza ukajitetea kwa kusema kuwa ni mkeo ndio alieanzisha hayo mawasiliano na pia hakusema kama ameolewa na pia sijawahi kufanya nae kitu chochote, YANI USIJE UKAJIDANGANYA KUSEMA UMEFANYA UMEKWISHA, BISHA GOMA HATA UKILETEWA PICHA BISHA, Na pia jishushe kwa jamaa muombe msamaha sana, na umueleze ushadelete kila kitu na hutaki hata kumsikia, na UACHE USALITI WAKO.