Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Facebook ilinikutanisha na mke wa mtu, sasa najuta

Pole sana, shetani ndo alishakuzidi nguvu, cha kufanya kwanza kaa ukumbuke aina ya msg ulotuma kwa huyo dada ukishakumbuka, mpigie huyo dada kumfahamisha kama anaifahamu hiyo namba ila mpigie huyo dada kwa namba nyingine na sio hiyo yako mlozea kuwasiliana, na ikiwezekana tumia mwanamke aanze kuongea nae kwanza akiwa free ndo uongee nae, ukishajiridhisha ni mumewe na msg alizokuta ukishazikumbuka mpigie jamaa na umsikize anachotaka kuongea, na jaribu kumuelewesha kulingana na msg unaweza ukajitetea kwa kusema kuwa ni mkeo ndio alieanzisha hayo mawasiliano na pia hakusema kama ameolewa na pia sijawahi kufanya nae kitu chochote, YANI USIJE UKAJIDANGANYA KUSEMA UMEFANYA UMEKWISHA, BISHA GOMA HATA UKILETEWA PICHA BISHA, Na pia jishushe kwa jamaa muombe msamaha sana, na umueleze ushadelete kila kitu na hutaki hata kumsikia, na UACHE USALITI WAKO.
Ubarikiwe umesomeka tatizo huyo Dada nimesha delete namba yake na na Fb ambalo aliponipa namba yake nimeshamblock sitaki hata kumuona maana nahisi mmewe atakuwa anajaribu kufatilia , ila nilipitiwa tu usiniite muasherati
 
Nilijiunga Facebook muda kidogo kama miaka 6 sasa na kipindi chote nimekutana na watu mbali mbali ila sikuwahi kuwa na tamaa na mwanamke wa Facebook kwa maana ya mkumtongoza mwanamke Fb mpaka ilipotokea kwa huyu.

Huyu Dada hata sijui ilitokeaje tukawa marafiki Fb tukajikuta tuaanza kuchati mazungumzonya kawaida kadri siku zilivyokuwa zinaenda nikaanza kuona mazungumzo yanahama nakaa najaribu kuonesha heshima maana ilikuwa kanizidi umri kidogo tukabadirisha namba za simu sikuwa najua kama kaolewa na hakuniambia ila mie alijua na make kwani aliona picha Fb.

Tukapanga tuonane siku moja Mungu sio Jecha wala Lowasa ikatokea siku tukaonana katika maongezi na hapo kaishanipuna Savannah sijui nyama choma tukajikuta tupo hoi ndio ananiambia ni mke wa mtu nikajisemea lazima nimtafune kaishanitia hasara nikamgegeda lakini nafsi ilinisuta sana nikiona namsaliti wife ambae yeye nina uhakika ni muaminifu na hata siku hiyo angekuwa makini angegundua hiyo ikapita tukakaa muda mrefu story ni kwenye Fb tu maana simu ni kimeo wenza wetu wangeweza kutustukia.

Sasa juzi juzi ilikuwa Jumapili wife kaenda kwenye issues zake huyu mama kanipigia akaniuliza nipo wapi nikamwambia home akaniambia nimfate sehemu ni kawa sina ujanja kwenda nakuta kaishalipia chumba na kaagiza mbuzi katoliki na Pepsi baridi nikala na nikamgegeda vizuri sana mpaka akadata.

Sasa tatizo amekuwa msumbufu akidai Mzee wake hamfikishi vizuri na mambo kibao, na toka juzi kuna namba ilinitumia sms ikidai imekuta sms kwenye namba ya mke wake anataka kukua mie ni nani sikuijibu nichofanya ni kumblock Fb huyu dada na kwenye simu ila mpaka anafanya hivyo,
nilikuwa nimeshapigiwa simu sana sikupokea maana sijui nitaongea nini alichosema atahakikisha ananidaka sasa nahofia kufanyiwa kitu ile Mungu hapendi au kurogwa maana huyu jamaa ni Msukuma.

Naombeni ushauri jamani nipo kwenye wakati mgumu,nifanyeje.
Hahaha
 
Back
Top Bottom