Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewahi kuishi hata south africa ! tu.Facebook haiwezi filisiwa kwa sababu ya kogo tu
Badala ya kutetea hoja yako unaishia kumtishia mtu kukaa South Africa [emoji23]. Je, kama huyo unaemjibu yuko huko huko Marekani? Btw Mark Zuckerberg siyo poyoyo kiasi hicho, ndiyo maana kafika hapo alipo katika umri mdogo.umewahi kuishi hata south africa ! tu.
wenzetu kupenda sheria ni hatari .
huku kwetu unaweza kula mkeo mda unaotaka na asikufanye chochote ila kule ukifanya hivo hata kama unawatoto kumi naye unakufungulia kesi ya kubaka.
Imebidi nicheke, kwamba jamaa anataka kutuletea story za kwenye kahawa za Facebook kufilisiwa [emoji3]Facebook haiwezi filisiwa kwa sababu ya kogo tu
Siyo rahisi hivyo wewe!
Hao facebook hadi kuitengeneza hiyo logo walishafanya research za kutosha! Hayo unayoyawaza wewe walishayawaza muda mrefu uliopita hata kabla wewe hujapa ABc's za Meta!
uzi hupo subiri.uje ujifunze kuwa akili yako hipo vipi
basi na mimi naenda kuchukua logo apple kufanyia kampuni yangu.kama unasema hivo.
kitu kimoja watu tuliozidiwa na kila kitu tunaona waliotuzidi wanauwezo kuliko sisi
Ungekuwa na kampuni usingeandika huu utopolo!
Kiufupi huna unachojua, zaidi ya kuokota porojo huko vijiweni ukaleta uzi huku!
Mark Zuckerberg siyo mwehu, wala huenei kwenye viganja vya mkono wake mmoja!
Wewe kaa usubirie kesi sasa!
Ungekuwa na kampuni usingeandika huu utopolo!
Kiufupi huna unachojua, zaidi ya kuokota porojo huko vijiweni ukaleta uzi huku!
Mark Zuckerberg siyo mwehu, wala huenei kwenye viganja vya mkono wake mmoja!
Wewe kaa usubirie kesi sasa!
Wote wamekuwa inspired na alama ya infinity👇👇umewahi kuishi hata south africa ! tu.
wenzetu kupenda sheria ni hatari .
huku kwetu unaweza kula mkeo mda unaotaka na asikufanye chochote ila kule ukifanya hivo hata kama unawatoto kumi naye unakufungulia kesi ya kubaka.