Facebook kutoa taarifa endapo Mtu aki screenshot ujumbe kwenye messenger

Facebook kutoa taarifa endapo Mtu aki screenshot ujumbe kwenye messenger

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Mtandao wa Facebook ulio chini ya Meta umeboresha katika sehemu ya mazungumzo yake ya messenger. Ikumbuwe Messenger pia imeunganishwa na Facebook hivyo Mtu anaweza kuchati Messenger kwa kutumia Facebook au Messenger yenyewe.

Back to topic, Facebook wamefanya maboresho kwa jumbe za Messanger hivyo endapo kama unachati na mtu Messenger na ukaweka option ya ujumbe kupotea baada ya muda mfano siku, wiki au mwezi na Mtu aka screenshot ujumbe huo Facebook watakutumia ujumbe kuwa ujumbe ume screen shotiwa.

Hii ni kuboresha usalama wa faragha za mtumiaji hivyo Mtu aki screenshot utapokea ujumbe wa taarifa za screenshot kwenye ujumbe ulio tuma. Hivyo haya yanafanyika kwa sasa hivyo inatakiwa kuupdate Facebook yako ili kufaidika na maboresho haya.
 
Screenshot_20220203-224539.png
wafanye tu kama hivyo
 
Sometimes Mtu anauhitaji wa ku screenshot hivyo wakifanya hivyo kuna vitu tutakosa Bora taarifa imfikie muhusika au waweka kipengele cha kuzuia screenshot.

Maana hiyo ya kuzuia screenshot ipo hasa dark web au deep web
 
Copy from telegram secret chat
 
Mbona rahisi tu nakuwa na simu 2.. nikiupenda ujumbe au nataka kuuhifadhi kwa matumizi ya baadae kama ushahidi naupiga picha nasave basi imeisha hiyo.
Labda pengine iwe hivyo endapo hawataboresha maonyesho mapya (New features)
 
Mtandao wa Facebook ulio chini ya Meta umeboresha katika sehemu ya mazungumzo yake ya messenger. Ikumbuwe Messenger pia imeunganishwa na Facebook hivyo Mtu anaweza kuchati Messenger kwa kutumia Facebook au Messenger yenyewe.

Back to topic, Facebook wamefanya maboresho kwa jumbe za Messanger hivyo endapo kama unachati na mtu Messenger na ukaweka option ya ujumbe kupotea baada ya muda mfano siku, wiki au mwezi na Mtu aka screenshot ujumbe huo Facebook watakutumia ujumbe kuwa ujumbe ume screen shotiwa.

Hii ni kuboresha usalama wa faragha za mtumiaji hivyo Mtu aki screenshot utapokea ujumbe wa taarifa za screenshot kwenye ujumbe ulio tuma. Hivyo haya yanafanyika kwa sasa hivyo inatakiwa kuupdate Facebook yako ili kufaidika na maboresho haya.
Hii ni nzuri kweli ku protect privacy za watu. Ila there is always a way around something, kama mm hapo nishaona mfano sitaki mtu alienitumia sms ajue nime screen shot, i could use screen recording au rahisi zaidi nipige picha hizo conversations kutumia simu nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao wa Facebook ulio chini ya Meta umeboresha katika sehemu ya mazungumzo yake ya messenger. Ikumbuwe Messenger pia imeunganishwa na Facebook hivyo Mtu anaweza kuchati Messenger kwa kutumia Facebook au Messenger yenyewe.

Back to topic, Facebook wamefanya maboresho kwa jumbe za Messanger hivyo endapo kama unachati na mtu Messenger na ukaweka option ya ujumbe kupotea baada ya muda mfano siku, wiki au mwezi na Mtu aka screenshot ujumbe huo Facebook watakutumia ujumbe kuwa ujumbe ume screen shotiwa.

Hii ni kuboresha usalama wa faragha za mtumiaji hivyo Mtu aki screenshot utapokea ujumbe wa taarifa za screenshot kwenye ujumbe ulio tuma. Hivyo haya yanafanyika kwa sasa hivyo inatakiwa kuupdate Facebook yako ili kufaidika na maboresho haya.
Nikizima data then nika-screenshot?
 
Back
Top Bottom