Facebook kutoa taarifa endapo Mtu aki screenshot ujumbe kwenye messenger

Facebook kutoa taarifa endapo Mtu aki screenshot ujumbe kwenye messenger

Hii ni nzuri kweli ku protect privacy za watu. Ila there is always a way around something, kama mm hapo nishaona mfano sitaki mtu alienitumia sms ajue nime screen shot, i could use screen recording au rahisi zaidi nipige picha hizo conversations kutumia simu nyingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wakijua kuna mwanya huo wanaweza fanya maboresho.
 
Wakileta hiyo options WhatsApp, maboss wetu developer wa GB,FM WhatsApp wataingia mzigoni kutuletea ant -Screenshot yake🤣🤣yaan nitascreenshot na hamna ujumbe utapewa.
Ila hapa kwenye hizo clone Zenu za WhatsApp ni kiboko ngoja tusubiri tuone.
 
CRDB app yao mbona huwezi screenshot? Ni ishu ndogo tu sikuona sababu ya mtu kufungulia uzi.
 
CRDB app yao mbona huwezi screenshot? Ni ishu ndogo tu sikuona sababu ya mtu kufungulia uzi.
Lengo ni kujuzana harafu hayo ni mabadiliko kutoka sehemu moja kwenye nyingine.
 
Mtandao wa Facebook ulio chini ya Meta umeboresha katika sehemu ya mazungumzo yake ya messenger. Ikumbuwe Messenger pia imeunganishwa na Facebook hivyo Mtu anaweza kuchati Messenger kwa kutumia Facebook au Messenger yenyewe.

Back to topic, Facebook wamefanya maboresho kwa jumbe za Messanger hivyo endapo kama unachati na mtu Messenger na ukaweka option ya ujumbe kupotea baada ya muda mfano siku, wiki au mwezi na Mtu aka screenshot ujumbe huo Facebook watakutumia ujumbe kuwa ujumbe ume screen shotiwa.

Hii ni kuboresha usalama wa faragha za mtumiaji hivyo Mtu aki screenshot utapokea ujumbe wa taarifa za screenshot kwenye ujumbe ulio tuma. Hivyo haya yanafanyika kwa sasa hivyo inatakiwa kuupdate Facebook yako ili kufaidika na maboresho haya.
Anajaribu kujifanya anajali privacy maana ana reputation mbaya kwenye hili.
Sijui atafanikiwa na metaverse yake maana naona anapump in billions of dollars.
Anaweza end up akaangukiwa pua
 
CRDB app yao mbona huwezi screenshot? Ni ishu ndogo tu sikuona sababu ya mtu kufungulia uzi.
Hata app ya paypal, tena wao wameenda. Bali zaidi kuna sehemu ambazo screen recording haifanyi pia
 
Anajaribu kujifanya anajali privacy maana ana reputation mbaya kwenye hili.
Sijui atafanikiwa na metaverse yake maana naona anapump in billions of dollars.
Anaweza end up akaangukiwa pua
Hapo naona anajijengea uaminifu kwa wateja wake ili kujua analinda faragha za mtumiaji.
 
Back
Top Bottom