Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Nini haja ya Mhe. Rais kuwa kwenye Facebook ?..
Kwani hata akija hapa JF mtamwandama jamani?Hongera kaka Kikwete...mbona kina Dr W Slaa,Kina Zito na wengi tuu wako hapa JF?one day they can be like kikwete presdaa je mtawasema pia kuwa wako kwa JF?hii ni blog la wasomi jamani na sasa ni sela za mitandao tuu..keep it up broda Kikwete tena weka na picha kibao za udogoni mkubwa..hata kama hi5 yumo bravo tuuu...