2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni
1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.
Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.
Unaipendea nini facebook?
1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.
Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.
Unaipendea nini facebook?