Facebook ya sasa imejaa matapeli, madanga na waganga wa kienyeji tu

Facebook ya sasa imejaa matapeli, madanga na waganga wa kienyeji tu

Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni

1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.

Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.

Unaipendea nini facebook?
Fb, insta

Nimeacha kutumia. Kwa miezi miwili sasa nadhani mwisho wa mwezi huu. Nitarequest kudelete account
 
Ndio mtazamo wangu kwa sasa hata mm
Mbona unateseka bure .

Cha kufanya Fungua Facebook page business page ,Kisha lipia Facebook ads hayo Ni matangazo ya kulipia , haijalishi idadi ya walio like page au vipi . Matangazo yatapostiwa kulenga wateja unaotaka wewe utapewa namna ya kuchagua pale . Unaweza kuanza hata na dollar 1 kwa siku Kama kutest uone inavyokua . Tena unaweza kuilink na Instagram page yako na WhatsApp business .

Cha msingi pekua humu Jf hasa jukwaa la biashara Kuna watu wameelezea vizuri tu kuhusu Facebook & Instagram Ads inavyofanya kazi . Au ingia YouTube pia uangalie live Jinsi ya kufanya .
 
Duuh,,fb naitumia sio sana kama ilivyo zaman kidgo na hayo unayosema yote yapo inategemea na aina ya magrup unayojiunga na marafiki ulionao fb otherwise me kwangu naona ipo kawaida tu kuingia ni mara chache sana mkuu
 
Kwenye hii mitandao ya kijamii utakutana na yale unayoa yatafuta ukitafuta habar za michezo utazipata, ukifata Malaya utakutana nao ukifata ushirikina utakutana nao, baaiashara pia utafanya fesibuku nimeadd watu wa michezo Sana tunaopiga stori za mpira na wanao post sana habari za michezo hao ndo Aina ya rafiki nilio chagua kuwa nao hivyo nikiingia tu nakutana na watu zaidi ya 100+ ambao wapo active hatujawahi kukutana wala kuonana sura ila utani wa mpira umetuunganisha japo siuoni Sana umuhimi wa fesibuku kwa Sasa ni sehem nayo tumia kujifurahisha tu naweza kuingia Mara mbili kwa mwezi huko
Nice
 
Mbona unateseka bure .

Cha kufanya Fungua Facebook page business page ,Kisha lipia Facebook ads hayo Ni matangazo ya kulipia , haijalishi idadi ya walio like page au vipi . Matangazo yatapostiwa kulenga wateja unaotaka wewe utapewa namna ya kuchagua pale . Unaweza kuanza hata na dollar 1 kwa siku Kama kutest uone inavyokua . Tena unaweza kuilink na Instagram page yako na WhatsApp business .

Cha msingi pekua humu Jf hasa jukwaa la biashara Kuna watu wameelezea vizuri tu kuhusu Facebook & Instagram Ads inavyofanya kazi . Au ingia YouTube pia uangalie live Jinsi ya kufanya .
Sasa unauza kitu faida umeweka 5000 utalipia tangazo 2$ ? Na huna uhakika wa kuuza
 
Sasa unauza kitu faida umeweka 5000 utalipia tangazo 2$ ? Na huna uhakika wa kuuza
Kwa maswali yako yote humu inaonekana hujawahi kutumia hizi online ads kabisa kabisa. Nenda kwenye hizo nyuzi ulizoambiwa jukwaa la biashara.
Unalilia dola 2 wakati nina jamaa hapa anaweka laki saba kwa mwezi kwenye ads pekee.
 
Kwa maswali yako yote humu inaonekana hujawahi kutumia hizi online ads kabisa kabisa. Nenda kwenye hizo nyuzi ulizoambiwa jukwaa la biashara.
Unalilia dola 2 wakati nina jamaa hapa anaweka laki saba kwa mwezi kwenye ads pekee.
Bila faida? Natumia sana lakini hesabu muhimu
 
Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni

1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.

Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.

Unaipendea nini facebook?
Ongeza wanafunzi wa shule za msingi
 
Bila faida? Natumia sana lakini hesabu muhimu
Bila ads unauza kwa rate gani na baada ya kutumia ads unaongezeka kiasi gani. Kuna uwezekano hulengi target halisi.
Kama unatumia ads na hupati faida hama platform ila kaa ukijua watu wenye hela wengi hawako Facebook, kule kuna bidhaa flani ndio zinauzika hivo ukiuza za gharama mfano furniture usitegemee maajabu.
 
Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni

1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.

Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.

Unaipendea nini facebook?
Washamba wote fb ndio lango Lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naingiza hela kwenye Facebook kwa groups na page pia naitaji watu smart hata kama ni wachache pia sio kwamba hela inaingia Facebook kwa sababu Nina page tu na group hapana Kuna jambo lingine unatakiwa ufanye nalo ni lazima ue na Biashara mkuu Facebook Kuna Biashara nyingi Sana Sema wewe ulipo jiunga Facebook ulianza kuwatafuta ndugu zako na Baadh ya master fake wa Facebook ndiomana unakumbana na io Hali

Mimi kwa mwezi nailipa Facebook shilingi 128000za kulipia Adds za matangazo yangu na kutafuta watu wa eneo husika ninalo li target
Nahitaji kufahamu hichi kitu kwa undani mkuu..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Bila ads unauza kwa rate gani na baada ya kutumia ads unaongezeka kiasi gani. Kuna uwezekano hulengi target halisi.
Kama unatumia ads na hupati faida hama platform ila kaa ukijua watu wenye hela wengi hawako Facebook, kule kuna bidhaa flani ndio zinauzika hivo ukiuza za gharama mfano furniture usitegemee maajabu.
Jaman ngojeni niwaweke Sawa Facebook siuz nguo wala Madera kama mna mpango wa kulipia sponser kwa biashara izo siwashaur ukitaka upate hela na uone faida ya adds ni lazima ue unafanya intanational business mbona biashara Zipo nyingi mfano biashara ya maua, asali, karanga nk Facebook Kuna soko kubwa Sana Sema mmekalili Facebook ni mtandao wa washamba
 
Jaman ngojeni niwaweke Sawa Facebook siuz nguo wala Madera kama mna mpango wa kulipia sponser kwa biashara izo siwashaur ukitaka upate hela na uone faida ya adds ni lazima ue unafanya intanational business mbona biashara Zipo nyingi mfano biashara ya maua, asali, karanga nk Facebook Kuna soko kubwa Sana Sema mmekalili Facebook ni mtandao wa washamba
Asante kwa kugusa kionjo hicho
 
Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni

1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.

Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.

Unaipendea nini facebook?
Kwa taarifa yako Facebook ndiyo mtandao wa kijamii namba moja kibiashara hapa duniani, watu wanapiga pesa..Kama huna biashara huwezi kulijua hilo
Facebook imekuwa Kama Google, mtu akihitaji bidhaa flani anaingia Facebook kuangalia wauzaji katika eneo husika

Tumeelewana?
 
Facebook ya miaka ya 2015 rudi nyuma ilikua tofauti sana na ya sasa. Kwa sasa watumiaji wengi wa facebook ni

1. Matapeli wa mtandao (crypto & investments)
2. Waganga wa kienyeji wapo wengi lakini (west Afrika sana)
3. Wadangaji fake (Wabongo sana)
4. Watu wenye uelewa mdogo (hasa Wabongo)
Sioni faida ya Facebook tena, siku 7 tu toka niingie nimechati na waganga zaidi 200, matapeli zaidi ta 100 (wengi wa SA), madanga zaidi ya 50.

Yani mpaka sasa sioni mtu anaeongea cha maana tofauti na marafiki wachache ninaojuana nao au mashirika ya habari tu.

Unaipendea nini facebook?
Wewe uliombwa ujoin
 
Hivyo vitu vyote ulivyovitaja ni moja ya matumizi ya fb...
Huwezi ukataka fb watumiaji wawe tu walokole na watu wa swala 5..
Kikubwa zakuambiwa changanya na zako

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako Facebook ndiyo mtandao wa kijamii namba moja kibiashara hapa duniani, watu wanapiga pesa..Kama huna biashara huwezi kulijua hilo
Facebook imekuwa Kama Google, mtu akihitaji bidhaa flani anaingia Facebook kuangalia wauzaji katika eneo husika

Tumeelewana?
Jamaa wa TikTok wanakoshiriki challenge huyu hawezi kukuelewa. Mimi nikitaka kununua kitu used naingia Facebook, kama juzi hapa nimenunua kibanda cha chuma uko. Vitu vingi hasa used utauza kule hasa kama simu na laptop.

Mwaka jana Facebook walitaka kuleta crypto currency yao ya Lira ila serikali ya Marekani ikawagomea kwa vile inajua watakuwa dominant kuliko hata mabenki.
Miezi michache nyuma Azerbaijan walikuwa na vita taarifa zote za serikali hata marais walikuwa wanazitolea Facebook.

Hapa tunazungumzia mtandao wenye users zaidi ya bilioni moja kila kona duniani. Bado una ushawishi mkubwa
 
Kwakua Facebook Hawa edit picha ndiomana mnekimbia

facebook ipi haina options za kuedit picha. nahisi huijui vizuri fb au utakuwa unatumia version ya zamani ya facebook.

version zote siku hizi za fb zina functionalities za kuedit picha na kuna option ya kuweka filter za kila aina.

tazama hapa chini kwenye picha, sehemu ambayo imeandikwa effect itakupata option ya kuedit picha.

IMG_20210210_235341.jpg
 
Back
Top Bottom