2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
- Thread starter
- #21
abdulhamis shida boss kukuza page,ulilipa sh ngap kupata likes za kutosha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fata muongozo uo utakusaidia sababu mimi nahis kwa Facebook io ndio NJIA rahis Asanten pslipo baki pambaneni wenyeweTupe connection kaka
Ukifuata sheria na taratibu ni less likely kukutana na tatizo. Tatizo likitokea ni imani limekuja kimakosa.Nilituma request nyingi ili nibadili acc juwa page sasa yamenikuta hayo
Hua Wana charge mpaka dola 20 mpaka 50na kuendelea kwa siku Sita au tano pia ili upate like hata kama umelipia sponser ni lazima group liwe na mvuto au ushawish bila ivyo utakuja kuanzisha uzi kua Facebook wamekuibia hela yako na nimatapelabdulhamis shida boss kukuza page,ulilipa sh ngap kupata likes za kutosha?
Hivi huwezi kuwa na page bila group?Hua Wana charge mpaka dola 20 mpaka 50na kuendelea kwa siku Sita au tano pia ili upate like hata kama umelipia sponser ni lazima group liwe na mvuto au ushawish bila ivyo utakuja kuanzisha uzi kua Facebook wamekuibia hela yako na nimatapel
Unaweza kua na page bila group pia unaweza kua na group bila page na pia unaweza ukawa navyo vyote kwa pamoja Tena kwa Jina mojaHivi huwezi kuwa na page bila group?
Kaka, Facebook ipo na bado inazidi kuongeza mazingira wezeshi ya kuunganisha jamii na kuwa njia ya kiuchumi.Facebook kumbe bado ipo?
Sawa, mzee sijawah kuuza kitu facebook sijui nina gundu gani. JF inenipa pesa sana lakink fb mpaka nimeichokaUnaweza kua na page bila group pia unaweza kua na group bila page na pia unaweza ukawa navyo vyote kwa pamoja Tena kwa Jina moja
Onaona Sasa mimi mwenyewe Leo ndio najua kua jamiforums mnaingiza hela na wala sijui mnaingiza vipSawa, mzee sijawah kuuza kitu facebook sijui nina gundu gani. JF inenipa pesa sana lakink fb mpaka nimeichoka
Mana sion hata Wateja umu mana wamejaa kina bia yetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Biashara uhakika ni huku,ila ngoja nifanyie kaz ushauri wako. Naweza ku unfriend hao waganga kwa pamoja?
Kwakua Facebook Hawa edit picha ndiomana mnekimbia ila ungejua kua Facebook ndio mtandao mama wa mitandao yote ungekaa kimiaduh hivi kuna watu mpaka leo bado mpo active facebook?. mara ya mwisho ku-post, ku-like na ku-comment ilikuwa mwaka 2015.
facebook umebaki kuwa mtandao wa watu washamba, watu wenye elimu duni na watu wanakosea spelling.
Ndio mtazamo wangu kwa sasa hata mmduh hivi kuna watu mpaka leo bado mpo active facebook?. mara ya mwisho ku-post, ku-like na ku-comment ilikuwa mwaka 2015.
facebook umebaki kuwa mtandao wa watu washamba, watu wenye elimu duni na watu wanakosea spelling.
Bugi hivyo hivyo ilikua 2016 kipindi mm sipo,kuja kugundua aliniomba nimfutie acc yakeDingi mmoja alikua ana follow haya ma group ya kimalaya,sasa unakuta kahaba ameandika kama umependa chura hii comment YES jamaa ana connent,kama utapenda malaya wanaotoa kwa mlalange LIKE na andika No. Yako ya simu,jamaa anaenda kwny comment anaandika.
Siku 1 nikamuuliza hivi bro unajua unayofanya ni ujinga?jamaa akajibu ujinga kivipi?Nikamwambia yote unayofanya ya ku like hayo ma group,ku comment no. Yangu yanaonekana hadharani?Akanijibu duh nilikua najua nayafanya imbox/anayeona ni mimi na hao wahusika tu kumbe kila mtu anaona?Nitaweka wapi mimi sura yangu maana humo fb nina mashemeji zangu,ndg zangu ninaoheshimiana nao?Alijitoa huko mitandaoni tangu 2018 mpk leo.
duh hivi kuna watu mpaka leo bado mpo active facebook?. mara ya mwisho ku-post, ku-like na ku-comment ilikuwa mwaka 2015.
facebook umebaki kuwa mtandao wa watu washamba, watu wenye elimu duni na watu wanakosea spelling.