chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 13,277
- 40,924
Hahaaa so niliandika bila kujua??Kiswahili chetu tofauti na chenyu.
Hapo pekundu ni"Biblia"
Hahaaa so niliandika bila kujua??
Kweli kiswahili chenu ni tofauti sana na cha Tanzania ni kama kiswahili cha Congo au Rwanda na cha Tanzania.
Kiswahili chetu tofauti na chenyu.
Hapo pekundu ni"Biblia"
Ahsante kaka!Kali! Kali! Hiyo punchline Kali buds!
Replace apo with yupoIla bibi wa Zuckerberg apo pale nyuma
Hahahaaa aiseeeCha Kongo pia kiswahili.
Kumbuka kiswahili ni lugha ya Kibantu ewe bongo lala
Kelb wahed!
Hahahaaa aiseee
Ni maisha yanakuchapa sana au?? Mbona una hasira mno hahahaaaa made a Sunday.
Tumsifu Yesu Kristo.
Kwahiyo kula vyakula vya Asili ndio u simple huo?Baada ya kula Jollofrice Nigeria,sasa anakula Ugali sato Nairobi,Mark ni mtu simple sana kwa kweli
Ndio unataka aende sehemu ambayo hakuna Kazi ili iweje[emoji15] .kufanya nini???
kuona BRT na Bomba non existent???
aje mahali kuna kazi tu
Naona unatafuta wewe!Tz ngojeni Janet Museveni atakuja na Bomba
Nairobi tunasema apo.Replace apo with yupo