FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Nikujibu hoja moja, hawakuta kurudia kosa la clouds kuingia ndani wakihisi kuna CCTV kamera. Hawakutaka kuacha fingerprint wakiwaacha wahusika kubeba vyombo vyao wenyewe. Kuhusu mvazi bado nahisi watekaji walitaka kuonyesha hawakuwa nia mbaya japo yapo maneno yanesma RMA alionekana akichechemea na kuvimba sura kidogo. Pili kama tukio lenyewe la kupanga tuu unadhani polisi wangewaachia kiulaini hivi?
 
Mbona mtekaji alishajitaja wewe vipi tena? Si amewarudisha kama alivyoahidi? Mnatuchezea na Daudi Bashite sio?
##Hata Dr.Ulimboka alitekwa bar, kwa kupigiwa simu na kutenganishwa na rafiki yake bila bughudha just like what happened to Roma!!
 
Mtekwaji baada ya kutoka Polisi hakuwa anaonekana ni Mtu anaefanana na Mtekwaji kwa tuliowahi kuona Mateka Live.

Sura ume settle haina msongo, hofu, Mchoko wala aina yoyote ya mateso au Mchoko lakin anazuga kwa kujifanya kuchechemea!

Kama Umesahau Igizo rejea la Kikombe cha Babu, wakat ule tuliwastua Watu walikuwa wanatuona Mafala
 
Umeandika mengi sana, yanayobewa na sentensi fupi.

".....kabla ya jumapili Roma na wenzake watakuwa wameishapatikana"

Sasa labda huyu ndio aseme walijiteka vipi maana kweli wamepatikana kabla hata J. Mosi haijaisha vizuri.
 

Hakuna kitu kibaya ' Kitaaluma ' kama kuandika taarifa ndefu halafu ni full of TITO and GIGO. Aliyekuambia kuwa ni lazima ' Watekaji ' wakija wavae vibaya vibaya na wawe na lugha isiyo na staha ni nani? Hivi ni kwanini Waswahili tunakuwa ' mijinga ' hivi? Hoja yako ni dhaifu mno na nadhani hata huko masomoni ulipokuwa ulikuwa ' unabashitika ' sana.
 
Mbona mtekaji alishajitaja wewe vipi tena? Si amewarudisha kama alivyoahidi? Mnatuchezea na Daudi Bashite sio?
##Hata Dr.Ulimboka alitekwa bar,kwa kupigiwa simu na kutenganishwa na rafiki yake bila bughudha just like what happened to Roma!!

Waliomteka Ulimboka ni wale walioratibu Mgomo na yeye kalitambua na Tangu hapo kujitenga nao

Baada ya kutekwa Mtu alie kwenda kumuokota Porini ni Dkt Kijokisimba na tukio likawa linarushwa live na ITV
 
Bashite kakulipa hela nzuri sana leo kwa kuandika upupu huu akidhani utaweza kudanganya GT wa Jamiiforums. Pole kijana ila kumbuka hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, Muda utaongea!
 
Hallow rutashobolwa, mambo!
 
Roma ni bora aeleze ukweli wa kila kitu atakuwa salama, lakini akijifanya kutunza siri maana yake watesi wake ipo siku wataogopa kuwa ataitoa hiyo siri na hivyo watamfanyizia.

Yaani ni bora apreempt kwa kusema kila kitu, wataogopa kumfanyizia maana watu watajua ni wao!
 
Roma jana angefunguka japo kwa uchache tungepata ukweli halisi,,,,ila kwasasa yote yanawezekana, ,inawezekana kuna mchezo umechezwa ,,,ili tusiamini ivyo inabidi kesho aweke wazi KILA kitu,,,,tofauti na hapo atadharauliwa sana
 
Mkuu KAKADO kwa facts ulizozitoa na zingine ambazo maybe umesahau hapo kuna miwili kwanza uwezekano wa Roma kuwa amejiteka ni mkubwa kuliko kutekwa

Watu wanaweza kujiuliza kwa nini ajiteke inaweza kuwa ni kwa misingi ya kibiashara ya muziki au anaweza kuwa third party ambae amekuwa introduced to the mix kwa kutuma ujumbe kwa wengine ambao watafanya kama alivyofanya Ney
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…