Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Tatizo la chadema mmekuwa wajuaji mpaka mnajichanganya wenyewe, hivi mnajua kweli, mnajua mabalozi wanateuliwa na nani na wanahamishwa vituo na nani?? Balozi namba moja ni Rais, huteua wasaidizi yeye.kenge ni kenge tu
 
Kwenye course inayoitwa business communication nilikutana na neno audience analysis unapokuwa unafanya communication na hadhira kama hii lazima ufanye audience analysis,Huenda jiwe alifanya audience analysis akaona vilaza tu vimejazana kwamba hakuna watu makini ndio maana akaamua kuwalisha matango pori
 
Hapa umechemka kaka mkubwa hebu chutama ufiche nyeti zako.
 
Serikali mpya inapoaingia madarakani kila kitu kinaanza upya kiserikali, Balozi namba moja ni rais, wanaowakilisha nchi wanamwakilisha rais, mwakilishi wa rais anateuliwa na rais mwenyewe.Shida yenu Tund lissu ameshika mpaka ufahamu wenu.
 
Kwa hiyo Masilingi alimpisha Tibaijuka siyo kuwa alipigwa chini .....!!?
 
Kuna mjadala mahali fulani ulifanyika,
Watu wakaulizana, kwani huyu mtawala ni mkali sana na mwongo?

Imekuwa hakuna hata anayeweza kumkabili!
Waliangalia maeneo mengi, mwisho wakahitimisha kuwa mtawala anatumia sana uchawi kuwafanya wapumbae na kuwafanya lolote atakalo.

Wakasema kabla ya 2015 kufanyika uchaguzi alienda kwa Tb Joshua na ndiyo ikawa sababu Tb kuja.

Tb ni freemason member, wakamaliza mjadala kuwa basi huyu nae ni member.

TAFAKARINI MTAONA UKWELI

Siyo kitu cha kawaida mtu mmoja tu aseme atakavyo, atukane atakavyo, aamue kila kitu yeye na hakuna wa kumgusa, kila mtu anatetemeka!!!
SIYO KITU CHA KAWAIDA
 
Muulize anaewateua.
wewe ndiye ulisema kwamba amemuongezea muda. kitu ambacho hujui mpumbavu mkubwa we
ki ukweli hakuna kitu kuongezewa muda kwa balozi.
Kwenye Ubalozi kuna kuteuliwa kuwa Balozi, Kuhamishwa Ubalozi, na Kutenguliwa Ubalozi tu
AKUNA HICHO KITU ULICHOSEMA ETI KUONGEZEWA MUDA WA UBALOZI
Masilingi aliteuliwa na JK , hata credentials zake za ubalozi zina saini ya JK.
Magufuli kadanganya kuhusu yeye kumteua Masilingi ni angeseama niliamua kuendelea naye angeeleweka sio kama alimteua yeye.
 
Tatizo la chadema mmekuwa wajuaji mpaka mnajichanganya wenyewe, hivi mnajua kweli, mnajua mabalozi wanateuliwa na nani na wanahamishwa vituo na nani?? Balozi namba moja ni Rais, huteua wasaidizi yeye.kenge ni kenge tu

Unajua maana ya kuteua?
 
Huko kumuongezea muda sio kumteua tena? Au lugha ndio inakuchanganya?
 
Serikali mpya inapoaingia madarakani kila kitu kinaanza upya kiserikali, Balozi namba moja ni rais, wanaowakilisha nchi wanamwakilisha rais, mwakilishi wa rais anateuliwa na rais mwenyewe.Shida yenu Tund lissu ameshika mpaka ufahamu wenu.

Nani kakwambia rais mpya akiingia madarakani kila kitu kinaanza upya?

Magufuli alivyoendelea na Makonda wakati huo Makonda akiwa ni mkuu wa wilaya ya kinondoni kabla Magufuli hajamteua ukuu wa mkoa wa DSM je hiyo inahesabika kuwa Magufuli ndo alimteua Makonda ukuu wa wilaya ya kinondoni?

Uraisi ni taasisi ipo, ila watu waitwao maraisi wanakuja na kuondoka.
 
Duu inaonekana una taarifa nzuri Freemason ni kitu gani mkuu, funguka please
 
Huko kumuongezea muda sio kumteua tena? Au lugha ndio inakuchanganya?
wewe ni mhutu nini kama unayemtetea ? manake nawasiwasi na uelewa wako wa lugha ya kiswahili.
Hivi Kumteua mtu kwenye kazi ni sawasawa na kumuongezea Muda Mtu kwenye kazi?
Kweli kabisa ubongo wako unafikiria sawasawa we mburura?
 
Mkuu sasa hivi tuko kwenye uchaguzi mkuu ili kupata chama kitakachoshinda na kuunda serikali. Kubali yaishe tuuuuu.
 
Maji yamezidi unga unaweza kupitiliza home ukaenda kubisha hodi kwa jirani [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…