Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

kawadanganye wajingawajinga wenzako wewe mbulula , Ukiteuliwa na Rais ni lazima ule kiapo mbele yake HII NI LAZIMA NA NI MUST ,
So uwezi kusema Masilingi kateuliwa na Magufuli kwani hakuapiswa na yeye. Mjinga mkubwa we na akili yaki imejaa mavi kama unayemtetea
Kwa kuwa huna akili nina kupuuza. Maana hujui kuwa urais ni taasisi wala sio mtu. Ngoja nikae kimya.
 
Na ukweli nusu ni Sawa Sawa na uongo! Ile nusu hufichwa ili ku-deceive!
Ndiyo maana yake.

Definition ya half truth imeeleza hilo.

Tatizo Mnengene hajui maana ya half truth. Lugha za watu hizi tabu sana.

Anafikiri mimi kusema Magufuli kasema half truth, namtetea Magufuli.
 
Kwa kuwa huna akili nina kupuuza. Maana hujui kuwa urais ni taasisi wala sio mtu. Ngoja nikae kimya.
Naona akili zimekurudia baada ya kubisha sana kuuuma we,
Uraisi ni taasisi ambayo inaongozwa na Mtu ambaye ni anacheo cha Raisi.
ila Ukweli upo palepale Magufuli kadanganya kuhusu kwamba eti yeye Magufuli anawapenda sana wanakagera ndio maana alimteua Masilingi awe Balozi marekani na kwamba eti na pia anawapenda sana wanakagera na ndio maana atampangia kazi nyingine fisadi wa escrow pro pesa tibaijuka kwa hiyo wanakagera wampe kura yeye.
Nyie jamaa kweli akili zenu zimejaa mavi tupu
 
Ndiyo maana yake.

Definition ya half truth imeeleza hilo.

Tatizo Mnengene hajui maana ya half truth. Lugha za watu hizi tabu sana.

Anafikiri mimi kusema Magufuli kasema half truth, namtetea Magufuli.
Ni tatizo la watu wengi hapa, ukisema kinyume na imani zao au ukisema kitu ambacho hawajui, na wengi hawajui kusoma between the lines pia!
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Hizo ndio sera za chadema?
 
Naona akili zimekurudia baada ya kubisha sana kuuuma we,
Uraisi ni taasisi ambayo inaongozwa na Mtu ambaye ni anacheo cha Raisi.
ila Ukweli upo palepale Magufuli kadanganya kuhusu kwamba eti yeye Magufuli anawapenda sana wanakagera ndio maana alimteua Masilingi awe Balozi marekani na kwamba eti na pia anawapenda sana wanakagera na ndio maana atampangia kazi nyingine fisadi wa escrow pro pesa tibaijuka kwa hiyo wanakagera wampe kura yeye.
Nyie jamaa kweli akili zenu zimejaa mavi tupu
Kwa upuuzi uliopost,ninakupuuza ,sawa?
Maana kama unajua ni taasisi kwa nini unakataa kuwa hiyo taasisi inaendele kumteua mtu andelee kuwa balozi. Kisa tu amebadilika kiongozi?
 
Kwa upuuzi uliopost,ninakupuuza ,sawa?
Maana kama unajua ni taasisi kwa nini unakataa kuwa hiyo taasisi inaendele kumteua mtu andelee kuwa balozi. Kisa tu amebadilika kiongozi?
wewe ni mpuudhi sana na unatetea kitu usichokifahamu,
Taasisi ya Uraisi ikiwa inaongozwa na Magufuli haikumteua Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Marekani
Magufuli kasema uongo aliposema kwamba yeye ndiye alimteua Masilingi kuwa Balozi Nchini Marekani
 
Tuombe uongo wake uwe unaishia tu kwenye haya mambo petty sababu mtu mwenye madaraka akiweza kudanganya vidogo hata akitwambia hii nchi bado ni yetu hatuwezi kujua kama bado ni kweli au hapana....
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Anawadanganya wadanganyika wa lumumba na wao utakuta wanachekelea tu
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Mkuu huu "utetezi" wako wazungu wanaita "Clutching at straws". Kwa maana pana ni kweli alifanya "uteuzi" kwa kuacha uteuzi uendelee; lakini ukiangalia context ya mkuu, ana-stretch ukweli.
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Ukiteuliwa unatakiwa kukaa ktk kituo hicho kwa miaka mingapi??
 
Back
Top Bottom