Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Kwa kuwa huna akili nina kupuuza. Maana hujui kuwa urais ni taasisi wala sio mtu. Ngoja nikae kimya.kawadanganye wajingawajinga wenzako wewe mbulula , Ukiteuliwa na Rais ni lazima ule kiapo mbele yake HII NI LAZIMA NA NI MUST ,
So uwezi kusema Masilingi kateuliwa na Magufuli kwani hakuapiswa na yeye. Mjinga mkubwa we na akili yaki imejaa mavi kama unayemtetea
Ndiyo maana yake.Na ukweli nusu ni Sawa Sawa na uongo! Ile nusu hufichwa ili ku-deceive!
Naona akili zimekurudia baada ya kubisha sana kuuuma we,Kwa kuwa huna akili nina kupuuza. Maana hujui kuwa urais ni taasisi wala sio mtu. Ngoja nikae kimya.
Ni tatizo la watu wengi hapa, ukisema kinyume na imani zao au ukisema kitu ambacho hawajui, na wengi hawajui kusoma between the lines pia!Ndiyo maana yake.
Definition ya half truth imeeleza hilo.
Tatizo Mnengene hajui maana ya half truth. Lugha za watu hizi tabu sana.
Anafikiri mimi kusema Magufuli kasema half truth, namtetea Magufuli.
Hizo ndio sera za chadema?Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.
Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.
Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.
Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.
Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.
Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!
Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:
View attachment 1572029
Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:
View attachment 1572036
TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Hizo ndio sera za chadema?
Kwa upuuzi uliopost,ninakupuuza ,sawa?Naona akili zimekurudia baada ya kubisha sana kuuuma we,
Uraisi ni taasisi ambayo inaongozwa na Mtu ambaye ni anacheo cha Raisi.
ila Ukweli upo palepale Magufuli kadanganya kuhusu kwamba eti yeye Magufuli anawapenda sana wanakagera ndio maana alimteua Masilingi awe Balozi marekani na kwamba eti na pia anawapenda sana wanakagera na ndio maana atampangia kazi nyingine fisadi wa escrow pro pesa tibaijuka kwa hiyo wanakagera wampe kura yeye.
Nyie jamaa kweli akili zenu zimejaa mavi tupu
wewe ni mpuudhi sana na unatetea kitu usichokifahamu,Kwa upuuzi uliopost,ninakupuuza ,sawa?
Maana kama unajua ni taasisi kwa nini unakataa kuwa hiyo taasisi inaendele kumteua mtu andelee kuwa balozi. Kisa tu amebadilika kiongozi?
Anawadanganya wadanganyika wa lumumba na wao utakuta wanachekelea tuKwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.
Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.
Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.
Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.
Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.
Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!
Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:
View attachment 1572029
Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:
View attachment 1572036
TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Nawashukuru sana wahaya wa pale bukoba mjini walio mpinga hadharani mchana kweupeeeeMuone huruma Meko anatafuta sympathy from the audience.
Nshomile hawataki ujinga, walichomoa battery mbele ya macho yake.Nawashukuru sana wahaya wa pale bukoba mjini walio mpinga hadharani mchana kweupeeee
Wale jamaa siyo mchezo ndiyo maana mchonga alikuwa anawaogopa sana kuwapa madaraka makubwaNshomile hawataki ujinga, walichomoa battery mbele ya macho yake.
Walimpa sana shida Mchonga, kwanza dharau iko kwenye DNA zao.Wale jamaa siyo mchezo ndiyo maana mchonga alikuwa anawaogopa sana kuwapa madaraka makubwa
Mkuu huu "utetezi" wako wazungu wanaita "Clutching at straws". Kwa maana pana ni kweli alifanya "uteuzi" kwa kuacha uteuzi uendelee; lakini ukiangalia context ya mkuu, ana-stretch ukweli.Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.
Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.
Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.
Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 25 tusifanye malisa!.
P
Na mayalla maana yake ni njaa....
Ndiyo maana jana wakatingisha mbuyuWalimpa sana shida Mchonga, kwanza dharau iko kwenye DNA zao.
Kati ya watu wanao nikere sana kwa sasa watafuta uteuzi kwa lazima ni MayallaTena njaa kali sana maana anatapatapa huku na kule kuandika upuuzi wake ili jiwe auone. Watanzania kama huyo ni hasara kubwa kwa Taifa.
Ukiteuliwa unatakiwa kukaa ktk kituo hicho kwa miaka mingapi??Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.
Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.
Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.
Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.
Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.
Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!
Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:
View attachment 1572029
Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:
View attachment 1572036
TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
hakuna muda maalumuUkiteuliwa unatakiwa kukaa ktk kituo hicho kwa miaka mingapi??