FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

Zaidi ya 20m+ ya watanzania wanasimu zenye huduma ya YouTube lakini wewe 24k tu wamekuchanganya
Jamaa hajui kua hata bando la data ni affordable kwa kila mwenye simu yenye uwezo wa YouTube.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ unanifanya niwakumbuke clouds presenters akiwemo Millard ayo diamond hana haja ya kutambulisha ngoma zake kwenye media ni mwendo wa IG na twitter
 
Kibongo bongo ni wengi sana... Sijawah ona YouTube channel yyte imeend live na ikapat viewers hat 5k tu.
N ukwel usio pingika huwa bongo ukiwa na mafanikio unachukiwa waz waz ...jamaa anakomaa kiasi chake wengi wanajifanya hawamfuatilii ila ukwel wanaujua wao jamaa n unstoppable
 
"wanangamia kwa kukosa maarifa" hii kauli muasisi wake ni nani ,babu yenu nmesahau asee.
Nataka nwape dedication vijana hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…