majebelenzoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 288
- 465
Unajisahau kuwa timu zinapigania nafasi ya kucheza huko ikiwemo na hiyo utopolo unayojivunia. Ujinga kweli mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli wanasaidia kweli kwenye kulia soka la bongo katika misingi ya udugu nizike kitu ambacho waliopiga hatua huwezi kuta hicho kitu ipo siku utakuja sikia singida yampa point za chee yanga!
KamdomoKwa utafiti niliyoufanya Kwa miaka miwili kwenye soka nimegundua mambo mengi kuhusu ugumu wa michuano hii ligi ya NBC premier vs CAF confederation league ( kombe la wamama
Zifuatazo ni tofauti za ugumu wa mashindano haya
1. Ufungaji - kibu kule confederation ni tegemezi Kwa makolo .....lkn akija huku NBC ligi ....Leo ni siku ya 400 bila kuifunga hata offside goal....so hii inaonesha huku ni kigumu
2.Seriousness: CAF confederation inakosa umakini ...timu zimacheza kihohehahe Amna kukamiana ...lkn NBC premier huku najua every one understand what I'm talking about
Research topic ilikuwa
ASSESSMENT ON STIFFNESS BETWEEN NBC PREMIER LEAGUE AND CAF CONFEDERATION LEAGUE
View attachment 3225785
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wampeleke Kwa yule tapeli wa imani pale kawe akapakwe mafuta ya mchongo ya upako
Yaaah mkuu...Yanga wanapambania soka la TZUnajisahau kuwa timu zinapigania nafasi ya kucheza huko ikiwemo na hiyo utopolo unayojivunia. Ujinga kweli mzigo
Hujaelewa mkuuNi kweli wanasaidia kweli kwenye kulia soka la bongo katika misingi ya udugu nizike kitu ambacho waliopiga hatua huwezi kuta hicho kitu ipo siku utakuja sikia singida yampa point za chee yanga!
Enzi hizo Yanga anafika final kulikuwa na ushindan mkubwa Sana ..... compared to nowKama Shirikisho ni kombe la wamama basi Yanga ndio mama mkubwa maana amefika hadi fainali na anaringia vidani alivyopewa badala ya kombe
Ushindani kutoka kwa timu kama Rivers United iliyopotea kwenye ramani mwaka uliofuata au Marumo iliyoshuka daraja ? all in all Yanga ndiye mama mkubwa na alipewa vidani na anaringa navyoEnzi hizo Yanga anafika final kulikuwa na ushindan mkubwa Sana ..... compared to now
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Pia angalia mpira mkubwa ....ulivyokua unapigwaUshindani kutoka kwa timu kama Rivers United iliyopotea kwenye ramani mwaka uliofuata au Marumo iliyoshuka daraja ? all in all Yanga ndiye mama mkubwa na alipewa vidani na anaringa navyo