Fact: NBC premier league ni ngumu zaidi kuliko kombe la shirikisho

Unajisahau kuwa timu zinapigania nafasi ya kucheza huko ikiwemo na hiyo utopolo unayojivunia. Ujinga kweli mzigo
 
Kamdomo
 
Kama Shirikisho ni kombe la wamama basi Yanga ndio mama mkubwa maana amefika hadi fainali na anaringia vidani alivyopewa badala ya kombe
 
Kama Shirikisho ni kombe la wamama basi Yanga ndio mama mkubwa maana amefika hadi fainali na anaringia vidani alivyopewa badala ya kombe
Enzi hizo Yanga anafika final kulikuwa na ushindan mkubwa Sana ..... compared to now

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Enzi hizo Yanga anafika final kulikuwa na ushindan mkubwa Sana ..... compared to now

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ushindani kutoka kwa timu kama Rivers United iliyopotea kwenye ramani mwaka uliofuata au Marumo iliyoshuka daraja ? all in all Yanga ndiye mama mkubwa na alipewa vidani na anaringa navyo
 
Ushindani kutoka kwa timu kama Rivers United iliyopotea kwenye ramani mwaka uliofuata au Marumo iliyoshuka daraja ? all in all Yanga ndiye mama mkubwa na alipewa vidani na anaringa navyo
Pia angalia mpira mkubwa ....ulivyokua unapigwa

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Huko shirikisho yaani UMISETA mashindano ya akina mama wanashinda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…