Hiyo ni jamii flani labda huko ulaya lakini siyo Kwa jamii Kama yetu! Huku kwetu mbona wanatuoa tu number wala wengi hawana hiyana kabisa! Kama wengine wanavaa Nguo za mitego za uchi kutoa namba Yake ya simu akatalie nini? Wengine yeye binti ndo kwanza anamuomba mwanaume namba ya simu Siku hizi! Kwa hiyo usichanyanganye jamii ! Wengi huwa tunazani wazungu ni Watu wakuchukulia mambo poa lakini Kumbe sivyo , Mzungu anaishi Kwa kanuni! Na akimpenda Mtu anamaanisha toka Moyoni na wanajali mno! Siyo sisi nazani tunahitaji kujifunza zaidi kuhusu kupenda na mapenzi! Na Mtu anapenda affection hawezi penda wengi Kwa wakati mmoja!