Goodluck TZ
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 1,448
- 661
JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kulala mchana unaona sasa unavyo ota pumba? Bibble iko limited sanaBiblia imeeleza kila kitu kinachofanywa na wanasayansi kwa sasa ni marudio tu kwani biblia imeshasema hakuna jipya chini ya jua
Wanasayansi pia mkuu ni kama kokoro(nyavu zilizobeba kila aina ya kiumbe maji/si-viumbe samaki watamu,nyoka,kaa,mawe,mayai, mamba watoto kenge na uchafu wa zaiwani). Kuna wanaomwamini Mungu, Kuna wasiojua chochote kuhusu Mungu, Kuna wanaujua ukweli kuhusu Mungu ila wanatafuta kuprove wrong mambo yake, Kuna wasiotaka kujua chochote nje ya Scientific evidence lkn wote wanakutana kwenye critical juncture ambayo ni kweli kwa Wanaimani vyote wanavyochunguza ni creative work of the lord.Mkuu MSEZA-MKULU, Kwanza pole sana kwa juhudi kubwa unayoifanya ya kuelimisha na kutangaza kwa nguvu zote jinsi ya biblia inavoshabiana na Science kwa ujumla wake.
Katika watu waliojitahidi kitendea haki thread zao nawewe unaongoza. . Na kwa kweli umeiva kwenye mada uliyoiweka.
Mimi naomba nianze kwa kusema inaonekana unaijua sana historia ya mambo ya kale ki-Biblia na ki-Sayansi kwa uzuri kabisa hapa ninakisifu na kwa kweli umeiva. Ila kujua hizo historia kwa sana haikufanyi ukawa na ushawishi au nguvu ya hoja wa kuwateka the so called MATERIALIST , shida uliyonayo ni kuwa unaeleza historia nyingi ambazo at the end unajichanganya na kumpoteza mbwa kwa miluzi mingi-----na ndio maana pamoja na kujenga hoja nyingi sana hujaweza washawishi wengi humu kufuata unachokizungumza/kukiamini maana hoja zako hazina mashiko.
Kwanin nasema hazina mashiko:
Mosi; Unachanganya mambo sana, mfano wadau wengi wanakuasa kuwa biblia inazungumzia (imani) wakati sayansi inazungumzia (facts) hii ni sawa na maji na mafuta. Huu ni ukweli wa wazi kabisa unaotakiwa kuukubali.
Pili; Ni kweli kama unavosema kuwa biblia imejaa ilmu mbalimbali ila wewe umeamua ku-site areas zinazohusu masuala ya kisayansi, hatukatai upo sawa tu maana kiukweli Bible ni kapu lenye kila aina ya maarifa kinachotakiwa ni jinsi mtu anavyoitumia anachukua kipi na kipi anakiacha. Ila unapokosea ni pale unapotulazimisha tuamini kuwa bible in its general inasupport sayansi, kitu ambacho si kweli---maana yapo maeneo kibao bible ina criticise sayansi kabisa na kuna sehemu inaenda beyond sayansi hasa kwenye masuala ya miujiza. Sasa kitabu kama hichi huwezi ukatoa a general statement kuwa eti kinasupport sayansi 100% na kitumike ktk maswala ya kisayansi as a reference maana kitachanganya watu hasa pale watakapokutana na mistari inayopinga sayansi humohumo. WEWE ULITAKIWA USIONESHE MAPENZI MAKUBWA NA YA KU-GENERALIZE KUWA BIBLE NA SAYANSI VINAOANA KWA UJUMLA WAKE. Kwa maana ukisema hivo unaleta contradiction kama nilivoeleza hapo.
Tatu; Unatakiwa utambue kuwa si kwa sababu wewe unaamini jambo fulani bac ukaona we ndio mueleeewa kuliko wengine , nimefurahi ulivyonanwa na mdau mmoja hapo juu ukakiri kuwa wachina, wajapani na hata mataifa & makabila mengine yameweza kufanikiwa sana tena sana kwa maarifa na skills nje ya biblia unayoiamini wewe, hapa ndio unatakiwa ufahamu kuwa knowledge is beyond very far beyond what you believe as MSAZE MKULU . Ni hivi yapo maarifa mengi sana yanaelea hewani na yapo pande zote kinachotakiwa ni mtu kuwa na vision kali na kutuliza mind yako ili uya-capture . Hili linathibitishwa kupitia wanasayansi wengi ambao kama tulivoona hapo kabla kuwa walikuwa christian ila baada ya kuzidi ku-crack vichwa waliamua kuachana na ukristo na either kuwa wapagan au kuhamia pande nyingine ya imani, ila hiyo haikuwafanya kushindwa kifanikiwa , matokeo yake walifanikiwa sana tena sana. Hivyo maarifa yapo everywhere the matter is how to capture them. Hivyo unvyong'ang'ania biblia ndio kila kitu unakosea maana si kweli , bali biblia wengi wanaichukua kama reference ktk kakipengele flan tu na anaendelea na theory zake nyingine, sasa wewe ukiona amesite kamfano kamoja unawehuka kisema biblia yote ni kisima cha sayansi hapo unakosea, hamna kitu kama hicho. (hapa unadhihirisha unavoweka mapenzi mbele badala ya logic) usihubiri we weka fact zitajitetea zenyewe.
NOTE:
Biblia ni kweli unaweza itumia kama unavosema ikakupanua kiakili katika areas flan flan ila pia biblia hiyohyo unaweza itumia ikakupumbaza jumla ktk mambo flanflan.
(AKILI KUMKICHWA)
Kuna vitu ambavyo tunavihitaji kuvijua kabla ya kwenda kuhoji Muonekano wa nje badala yake Uanzie kwenye Microscopic mfanano wa ndani yaani GENEOLOGY kabla ya PHYSIOLOGY, Tujue Gene Pool, Ukijikita kwenye CELL au GENE world of mankind na sio anaonekanaje nje na rangi yake ya nje kuna uwezekano mkubwa wa kuona kuwepo Muhindi, mchina au Mzungu sio Muujiza bali ni product of the pre-installed genetic informations during creation. Kwa sasa naomba niseme hivyo.Na ile safina ya Nuhu bibilia inasema vilikufa viumbe vyote isipo kuwa vilivyo ingia kwenye safina. Swali Nuhu na baadhi ya watu wake ndio waliingia na wakaokoka na garika sisi tumetoka wapi? Au wazungu wametoka wapi? Au wahindi wametoka wapi na wengineo. JIBU TAFADHARI STAKI POVU.
Mfia dini ww ila angesikilizwa kakobeBado mnamsikilizaga tu huyu Mhindi hadi leo?
Mkuu una mahusiano na peter tosh?Usifuate mkumbo wa Dunia wa kuamini kitu, fuata unacho kiamini mwenyewe
Mimi huwa siamini kama Dunia inazunguka jua ila jua ndo huzunguka Dunia, Mungu hawezi kusema uongo, kuligandisha jua inamaanisha kuwa jua ndo linamove. Na inawezekana jua ndo linamove na sio Dunia sababu hata ukiangalia vingine vilivyo angani vinaonekana vinamove kama vile mawingu, nyota na mwezi, kama Dunia inamove kwa nini hivi navyo visitulie ili Dunia ndo ivizunguke. Na kama Dunia ndo ingekuwa inalizunguka jua inamaanisha jua lingekuwa palepale kila siku na Dunia ndo ingekuwa inamove from east to west.Na wanasayansi wanasema Dunia inamove Lakini ipo palepale, so ni nini maana ya kitu kumove? Kitu kumove ni kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine, so haiwezekani kusema kitu kina move then kipo pale pale
Hakuna uthibitisho unaoeleweka kuwa Dunia ina move maana palipo mashariki siku zote ni mashariki na magharibi ni magharibi siku zote. Lakini jua huanzia movement zake mashariki na kuishia magharibi
Pia kumbukeni Shetani baada ya kumwasi Mungu alihakikisha kila kitu anapeleka kinyume na Mungu anavyosema.
Mkuu unataka kuniambia biblia aliandika yesu?Karibu vyote hanipotoshi mimi Bali yeye mwenyewe, wasikilizaji, jamaa aliyeuliza hayo maswali miwili na wewe mleta clip ndio maana hata alisema kitabu kimeandikwa na Mungu wakati historia inasema aliandika othman.
Tena kwa kutowashirikisha watu Wa Muhimu kabisa waliokuwa wamebeba ujumbe huku akipoteza ushahidi wa orgin copy unauhakika gani kuwa hayo ni ya Allah au idea za huyo calif.
Nikupe assignment ndogo niolodheshee vitu vitabu na mistari unayoamini ktk bibilia kwa ushauri wa huyu Mwalimu wa peace TV.
Kuhusu ponography kasema yeye muulize iko wapi hiyo na nini kilimaanishwa ukiniuliza mimi sina la kukweleza hadi ulete hicho anachoelezea Mwalimu wako
Hapa Kuna mengi yameongelewa japo umequote nusu ya hiyo chapter. Nextime summarize kwa kiswahili tu huna haja ya kutipika maelezo yote haya ambayo yanaweza kuandikwa kwa sentesi nne tu.
Pia nashukuru kwa kutaka kujua mtazamo wa bibilia maana ktk quran haijulikani dunia iliumbwa siku ngapi maana Kuna nane, Saba, tano kwa ufupi haina uhakika.
Nimekwambia Mungu alikuwa anatengeneza self running system. Pia Jua sio Chanzo pekee cha mwanga. Ndio maana Mungu siku ya kwanza aliumba mwanga kabla ya kuweka jua ili kupropagate day/night issue. Hakuna mahali panasema horizon ni bahari iliyoko angani ni mawazo ya huyo jamaa. Ila Mungu alitenga Maji na akaweka system ya Hydrology kama nilivyokueleza kwenye thread. Maji mengine aliyahifadhi chini ya ardhi. Lugha ya madirisha ya mbinguni isikutishe mvua ilinyesha kama mvua nyingine.
Kuna vitu vingi kaelezea sijui shida yako ni nini.
Porojo hizo kama umasema kweli naomba andiko kwenye biblia mwanaume ana mbegu za uzazi ngapi na mwana mke anazo ngapi?
Mbegu ni nini?MWANAMKE HANA MBEGU ZA UZAZI
Wakristo ni akina nani?WAKRISTO NAWASIHI PLEASE PLEASE..MSIWE MNAANDIKA NA KUFIKIRI KAMA DINI ZILE... AS IF NANYI MNA INFERIORITY COMPLEX HAMNA BABA WA KUWAINUA.
NYINYI SI.WATU.WA DINI
.......
NAWAANDiKIENI enyi wakristo .KWASABABU MNAZO NGUVU NA NENO LA BWANA LINAKAA NDANI YENU NANYI MUMEMSHINDA YULE MUOVU.
hata madaktari hawajui idadi kamili huwa wanafanya estimation tuPorojo hizo kama umasema kweli naomba andiko kwenye biblia mwanaume ana mbegu za uzazi ngapi na mwana mke anazo ngapi?
Amina mkuuWAKRISTO NAWASIHI PLEASE PLEASE..MSIWE MNAANDIKA NA KUFIKIRI KAMA DINI ZILE... AS IF NANYI MNA INFERIORITY COMPLEX HAMNA BABA WA KUWAINUA.
NYINYI SI.WATU.WA DINI
C’MOON
HISTORY HAS PROVEN YOUR GREATNESS.
BESIDES THE WORLDS'HISTORY IS THE CHRISTIAN HISTORY.
YOUR POPULATION IS SO HUGE.
NO ANY OTHER RELIGION ON THE PLANET EXCEEDS YOUR NUMBER.
YOUR POPULARITY is GLORIOUS.
YOUR CULTURE, LIFE STYLES DOMINATE THE WHOLE WORLD.
YOUR GREATNESS IS VAST, YOUR ACHIEVEMENT IS BEYOND COMPARISON.
BE IT.. POLITICALY, SPIRITUALY, ECONOMICALY, SOCIALY, PSYCHOLOGICALY AND SCIENTIFICALY,
YOU'VE ACHIEVED EVERYTHING.
YOUR BIBLICAL ALMIGHTY GOD IS TRULY AMAZING AND HAS NO MATCH.
YOUR UNDERSTANDING OF GOD IS A BLESSING.
YOU KNOW ALL THE SECRETS OF KINGDOM OF HEAVEN.
ASITOKEE MTU AKAWAVUNJA MOYO KWA MAFUNDISHO YAKE YA MASHETANI NA ROHO zidanganyazo
NAWAANDiKIENI enyi wakristo .KWASABABU MNAZO NGUVU NA NENO LA BWANA LINAKAA NDANI YENU NANYI MUMEMSHINDA YULE MUOVU.
Hapa nitanukuu mambo matatu.Mkuu unataka kuniambia biblia aliandika yesu?
Heshima kwako Mkuu.Amina mkuu