FACTS 11: Kama wanasayansi wangesoma BIBLIA, Technology ya sasa ingekuwa Zamani Sana

Wanasayansi pia mkuu ni kama kokoro(nyavu zilizobeba kila aina ya kiumbe maji/si-viumbe samaki watamu,nyoka,kaa,mawe,mayai, mamba watoto kenge na uchafu wa zaiwani). Kuna wanaomwamini Mungu, Kuna wasiojua chochote kuhusu Mungu, Kuna wanaujua ukweli kuhusu Mungu ila wanatafuta kuprove wrong mambo yake, Kuna wasiotaka kujua chochote nje ya Scientific evidence lkn wote wanakutana kwenye critical juncture ambayo ni kweli kwa Wanaimani vyote wanavyochunguza ni creative work of the lord.
Mosi:Bibilia imezungumzia imani ni kweli, Kuna ubaya gani kama kitu cha kwenye bibilia kilichopokelewa kwa imani, Akaja mwanasayansi kwa kujua au kutokujua akakidhibitisha ndivyo kilivyo. Mzizi na Msingi wa bibilia ni kuwa hakuna kitu kilichotokea by Chance. Vyote ni creative work of Biblical God.Sasa kama unamwamini au humwamili lakini unachunguza uhalisia wa kazi zake na majibu yakawa sambamba na kauli zake zilizoaminiwa kwa imani sioni shida hapo mkuu.

Pili;
Umeeleza vizuri mkuu na kiungwana pia. Maelezo yako ni kweli lkn pia wenda hujanielewa au mimi ndio sijaeleweka. Ninaweza kesho kuandika post kuwa bibilia ni SOURCE ya ECONOMICS maana Hata Founder wa modern economy Adam Smith aliwahi kuconvince bunge kukubaliana na Essay yake maana alicement hoja zake kwa kutumia Biblical principles za Kitabu cha Genesis. Haimaanishi bibilia nzima ni Economics. Nakubaliana na wewe kuwa bibilia ni Multknowledge source ila contradictions kwa Mwanasayansi anayeiamini haziwezi kutokea maana atakuwa na mental capacity kwanza ya kujua Mungu ana Infinity ability mwenye uwezo beyond scientific limitations. Atalewa Shoka ilipoelea,Yesu kupaa(Breaking g influence), Spiritual Dimension, Fimbo kuwa nyoka,Mtu kupotea Dar na kuibukia Mwanza in microsecond time,Yesu kutembea juu ya maji etc ni beyond sayansi. Kwa hawa ambao hawataki kumwamini Mungu wala Spiritual dimension bado wanaweza kuwa na fursa ya kuchimba kwnye hii Multimineral Mine, Mwanasayansi kama huyu ndiye mwenye uwezekano wa Kukutana na Contradictions. Ila anaweza kushauriwa ajikite kwenye investigation ya outputs of creation. Mfano what makes life possible on earth anauwezekano akagundua tens of forces and constants ambazo zinafanya maisha yawe possible duniani na sio jupiter and use the same principle to scientifically investigate mars. What force/power is behind cooperation of ants. Atagundua kuna special cooperative cognitive sensors ambazo zinawafanya wawe karibu, Pia atagundua kuna kiogozi wenda anaexcrete hormony inayowafanya wenzake wafuate anachoamuru japo haongei. Kumbe basi wanaweza kuja na prototype ya uwezekano wa wanadamu kufanya kazi kwenye kelele bila distraction. Kwa ufupi kuna tens of research titles around the creative work of God and his word BIBLE.

Tatu
Nakubaliana na wewe mkuu sijui kila kitu ila changAMoto ikitolewa lazima tuchakate hadi mtoa changamoto atoe basis zote za argument yake ikiwezekana kiini cha changamoto na supportive facts ili kuwa na mutual exchange of knowledge, Wenda akanishawishi kwa hoja au mimi nikamshawishi au tukakubaliana kutokukubaliana ila mwisho wa siku product ni Desire for more learning, Modification of faith,new knowledges, List of unanswered questions that needs deep research. Kwa mfano mimi vitabu nilivyopanga kusoma mwaka huu vingi sikuvisoma nikaishia kujikita kwenye majibu ya changamoto mpya ninazozipata katika mijadala na kusoma maMbo ya huko. Unapohoji na kukomaa kwenye kile unachokiamini huku ukiutaka upande wa pili ulete changamoto zaidi unaonekana mjuaji,mdini, mbishi, kichwa ngumu etc.

Mwisho
Nashukuru kwa changamoto ulizoteoa maana kwangu zinanifanya kuwa tofauti na yule wa jana maana ninarefine nilichojifunza na ninachoamini. Hata mimi ninaamini Kuna mamilioni ya maarifa nje ya bibilia ila kila ilmu iliyo nje ya bibilia lazima ikutana na elimu ya bibilia kwenye angle flani hata kama ni angle ndoogo sana vinginevyo elimu hiyo lazima iangaliwe kwa umakini zaidi nini kusudio nje ya elimu yenyewe Wenda ikawa ni upinzani wabibilia usio na mashiko kwa jina la sayansi au utafiti kama ilivyo evolution.

Asante sana, Nakosoleka na nakubali changamoto katika maelezo yangu wenda yakaongeza au kusawazisha ukakasi uliojitokeza
 
Kuna vitu ambavyo tunavihitaji kuvijua kabla ya kwenda kuhoji Muonekano wa nje badala yake Uanzie kwenye Microscopic mfanano wa ndani yaani GENEOLOGY kabla ya PHYSIOLOGY, Tujue Gene Pool, Ukijikita kwenye CELL au GENE world of mankind na sio anaonekanaje nje na rangi yake ya nje kuna uwezekano mkubwa wa kuona kuwepo Muhindi, mchina au Mzungu sio Muujiza bali ni product of the pre-installed genetic informations during creation. Kwa sasa naomba niseme hivyo.
 
Mkuu una mahusiano na peter tosh?
 
Mkuu unataka kuniambia biblia aliandika yesu?
 
Porojo hizo kama umasema kweli naomba andiko kwenye biblia mwanaume ana mbegu za uzazi ngapi na mwana mke anazo ngapi?

MWANAMKE HANA MBEGU ZA UZAZI
 
WAKRISTO NAWASIHI PLEASE PLEASE..MSIWE MNAANDIKA NA KUFIKIRI KAMA DINI ZILE... AS IF NANYI MNA INFERIORITY COMPLEX HAMNA BABA WA KUWAINUA.
NYINYI SI.WATU.WA DINI

C’MOON

HISTORY HAS PROVEN YOUR GREATNESS.
BESIDES THE WORLDS'HISTORY IS THE CHRISTIAN HISTORY.
YOUR POPULATION IS SO HUGE.
NO ANY OTHER RELIGION ON THE PLANET EXCEEDS YOUR NUMBER.
YOUR POPULARITY is GLORIOUS.

YOUR CULTURE, LIFE STYLES DOMINATE THE WHOLE WORLD.

YOUR GREATNESS IS VAST, YOUR ACHIEVEMENT IS BEYOND COMPARISON.
BE IT.. POLITICALY, SPIRITUALY, ECONOMICALY, SOCIALY, PSYCHOLOGICALY AND SCIENTIFICALY,
YOU'VE ACHIEVED EVERYTHING.

YOUR BIBLICAL ALMIGHTY GOD IS TRULY AMAZING AND HAS NO MATCH.
YOUR UNDERSTANDING OF GOD IS A BLESSING.
YOU KNOW ALL THE SECRETS OF KINGDOM OF HEAVEN.
ASITOKEE MTU AKAWAVUNJA MOYO KWA MAFUNDISHO YAKE YA MASHETANI NA ROHO zidanganyazo

NAWAANDiKIENI enyi wakristo .KWASABABU MNAZO NGUVU NA NENO LA BWANA LINAKAA NDANI YENU NANYI MUMEMSHINDA YULE MUOVU.
 
Wakristo ni akina nani?
Je ni waumini wanaomwabudu Yesu?
Au ni wafuasi wa Yesu wanaofuata mafundisho yake?

John 17:3 Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent.

Matthew 5:19 Therefore anyone who sets aside one of the least of these commands and teaches others accordingly will be called least in the kingdom of heaven, but whoever practices and teaches these commands will be called great in the kingdom of heaven.

Matthew 5:17 "Do not think that I have come to abolish the Law or the Prophets; I have not come to abolish them but to fulfill them.

Matthew 19:17 "Why do you ask me about what is good?" Jesus replied. "There is only One who is good. If you want to enter life, keep the commandments."

Mark 12:29 "The most important one," answered Jesus, "is this: 'Hear, O Israel: The Lord our God, the Lord is one.

Matthew 27:46 About three in the afternoon Jesus cried out in a loud voice, "Eli, Eli, lema sabachthani?" (which means "My God, my God, why have you forsaken me?").

John 20:17 Jesus said, "Do not hold on to me, for I have not yet ascended to the Father. Go instead to my brothers and tell them, 'I am ascending to my Father and your Father, to my God and your God.'"
 
Mimi naona hivi vitabu vya dini ni mojawapo ya mwongozo kwa mwanadam ila tatizo likuja kwa wale wanao vitumia kama biashara
 
Mungu alimpa binadamu akili ili aweze kugundua na kuendesha maisha yake mwenyewe... wewe ulitaka aweke wazi kila kitu halafu sisi tuteleze tu? Nitaanza kuwaelewa wanaosema mungu hayupo watakapoeleza kwamba jinsia za viumbe wa duniani zilitokeaje? iko wazi kabisa hapo ni akili ilitumika lakini ni akili ya nani?
 
Porojo hizo kama umasema kweli naomba andiko kwenye biblia mwanaume ana mbegu za uzazi ngapi na mwana mke anazo ngapi?
hata madaktari hawajui idadi kamili huwa wanafanya estimation tu
 
Amina mkuu
 
Mkuu unataka kuniambia biblia aliandika yesu?
Hapa nitanukuu mambo matatu.
1: Watu waliandika Maneno ya Mungu kwa Uongozi wa Roho Mtakatifu, na kuna mahali wao kwa kuvuviwa walitoa ushauri ambao wote kwa ujumla unaingia kwenye category ya neno la Mungu maana.
2 Peter 1:20-21
Above all, you must understand that no prophecy of Scripture comes from the prophet’s own interpretation. 21For no prophecy was ever brought about through human initiative, but men spoke from God as they were carried along by the Holy Spirit.

2:Kuna jitihata zimewahikufanyika, zinafanyika na zitafanyika kulifuta,kulichanganya,kulibadili,kulichakachua neno la Mungu au kubuni maneno yake na kuita ya Mungu na kuvuta mamilioni katika ubunifu huo, ili kuleta mikanganyiko na sintofahamu ambazo matokeo yake ni Kuongeza idadi ya Waiomwamini, Atheists, imani nusunusu na mitazamo mingine mingi hasi dhidi ya Mungu na kuchochea chuki dhidi ya wanaomwamini.
Daniel 7:25
He will speak out against the Most High and weardown the saints of the Highest One, and he will intend to make alterations in times and in law; and they will be giveninto his hand for a time, times, and half a time

3:Neno la Mungu bibilia licha ya kwamba linapitia katika wakati mgumu litadumu milele. hakuna atakayelipoteza milele.
Isaya 40:8 The grass withers, the flower fades, But the word of our God stands forever.

nimetoa maelezo mengi lakini naamini unaweza kuwa umeokotaokota madini kwenye hayo maelezo
 
Amina mkuu
Heshima kwako Mkuu.

Hakika katika watu walioanzisha Uzi na kuutendea haki wewe ni mmoja wao.
Your genius mazee...

Hofu yangu ni kwamba, kwa MTU aliyekamilika (mentally) kama wewe ni hatari kumwamini kwani akiamua kutetea kisicho kweli hutoweza kum-prove wrong.

Ila kama unachokisimamia ndio kweli UBARIKIWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…