Facts About Tanzania - East Africa You Did Not Know About

Ni kweli unachosema na hii huitwa Ungulate migration, lakini pia ni ukweli usiopingika kuwa Tanzania (Serengeti NP) is the best place to observe Ungulate migration...!
 

Nakuelewa. Shida ni unapotaja nchi. Nchi ni ardhi bro. Sio maskini. Kumbuka kuna walio jangwani wana mali kutuzidi.

Kuhusu changamoto zimeshatajwa sana ni basi tu watu wamekalia maisha yaleyale. Huku vijijini ndipo nafanyia kazi mkuu. Kuanzia Rukwa ruvuma mbeya iringa songwe njombe morogoro mwanza mara kagera shinyanga simiyu ukanda wote wa pwani kanda yote ya kaskazini tena deep huko vjjn singida dodoma tabora n.k. Naifahamu hii nchi sio kidogo. Na watu wake pia najitahidi niendelee kuwafahamu.

Tunafanya japo bado kuna uvivu wa hali ya juu. Hasa wa kutumia maarifa na ndo maana tunapiga maktaimu.

Ongezea hapo kuwa bado wengi elimu ni duni basi hata siasa tunarudia ujinga uleule kuchagua walioshindwa. Na awamu hii ndo dhirisho rasmi.
 
Cool!

U are showing off all these awesome stuff u guys are blessed with to us Kenyans (aint it obvious?), but if only u were ranked up there, in the league of the leading nations in Africa.
Why on earth is Tz still an LDC? Just asking.....
 
Lake Victoria is only in Tanzania, ni nini haujaelewa hapo? And we are 100% certain that L. Victoria is the source of the Nile.
Amesema River Nile originates from L. Victoria, which is in Tanzania. But River Nile originates from the Ugandan side of the lake, which makes that fact useless.
And Lake Victoria is in 3 countries Iconoclates, not in one, to correct you
 
Amesema River Nile originates from L. Victoria, which is in Tanzania. But River Nile originates from the Ugandan side of the lake, which makes that fact useless.
And Lake Victoria is in 3 countries Iconoclates, not in one, to correct you
98% ya maji ya ziwa victoria yanatoka Tanzania. Niambie mito gani huko kenya na Uganda yanaingiza maji kwenye ziwa victoria? Nyie mnatumia tu hamzalishi maji kwenye ziwa victoria. Ukitaka nitakutajia mito unayoingiza maji kwenye ziwa.
 
Amesema River Nile originates from L. Victoria, which is in Tanzania. But River Nile originates from the Ugandan side of the lake, which makes that fact useless.
And Lake Victoria is in 3 countries Iconoclates, not in one, to correct you
I was being cynical, also mocking her arguments.
 
98% ya maji ya ziwa victoria yanatoka Tanzania. Niambie mito gani huko kenya na Uganda yanaingiza maji kwenye ziwa victoria? Nyie mnatumia tu hamzalishi maji kwenye ziwa victoria. Ukitaka nitakutajia mito unayoingiza maji kwenye ziwa.
Hoja yangu si mito. Just stating what I thought was not correct. Mtu hajui anything about L. Victoria atakuwa misled. I do not see any relationship ya River Nile na Tanzania. L. Victoria iko in 3 countries and River Nile originates from Uganda
 
Hoja yangu si mito. Just stating what I thought was not correct. Mtu hajui anything about L. Victoria atakuwa misled. I do not see any relationship ya River Nile na Tanzania. L. Victoria iko in 3 countries and River Nile originates from Uganda
Naona unaumia sana. Hiyo ndiyo fact kwamba maji ya Ziwa victoria originated from Lake Tanganyika na mito kadhaa ndani ya Tanzania. Kwahiyo Source ya maji yote toka Ziwa victoria ni Tanzania. Usiumie sana wewe vuta pumzi tu unywe maji. Huwezi kuukwepa ukweli. By the way 3/4 ya ziwa lipo tanzania wakati kenya ni 1/10 ya ziwa. Mbona unaanza kupagawa mapemaaa!!?
 
Swali la: kwanini tanzania ni masikini? Ni moja kati ya ajabu uliloliacha katika izo rekodi zako
 
Swali la: kwanini tanzania ni masikini? Ni moja kati ya ajabu uliloliacha katika izo rekodi zako
Wewe pekee yako na familia yako ni maskini. Sisi wengine tunaishi fresh. Tunakula na kunywa na kusaza.
Kabda kwa sababu ukoo wenu ni maboya ndiyo maana ni maskini. Mnapenda sana kula majungu.
Wazazi walikuwa wapiga majungu ndiyo maana sasa hivi watoto mnapiga miayo tu. Na wewe ukiendelea hivyo kizazi chako chote kitakuwa na laana hiyo hiyo. Mungu atakulaani mpaka kizazi cha saba. Unatakiwa ujirekebishe kabla muda haujakupita.
 
Nashindwa jinsi ya kukujibu kwa sababu naona kama hujielewi
 
yah what u r sayin is very true, ila kumbuka it's now 56 yrs since independence, but we are not progressing enough, how many yrs are enough for us to move on??
And its said we were better off than China when we got independence but today look at where we are economicaly and financialy n compare that with China!!
 
And its said we were better off than China when we got independence but today look at where we are economicaly and financialy n compare that with China!!
Proof please.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…