We mjinga Sana Huyo Rayvan anaishi Tabata ninamjua fika, na last week ameshindwa kulipa Kodi na soon anaweza kufukuzwa... Hizi sio story ni Hali halisi panda daladala nenda tabata kaulize uoneshwe kwake halafu uliza Madalali wa hayo maeneo.
Yani unakuja kupima mafanikio ya muziki wa rayvan kwa kumiliki Prado ambalo sio hela Yake iliyonunua. Unapima uwezo wake kwa kujazia watu petrol... Asikudanganye mtu kijana wasanii wa Wasafi hususani Rayvan ana njaa kali mno. Mwaka Jana yule demu wake alishindwa kutoa mchango wa harusi ya ndugu Yake aliyoahidi yeye na Rayvan ... Niishie hapa sitaki nimwage mengi hadharani kwa kukufurahisha wewe poyoyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app