Facts Muhimu kuhusu WCB

Facts Muhimu kuhusu WCB

Mi nawaza rayvanny awe anaimba nyimbo za slow , show zake ziwe za kimahaba Zaid ajitengenezee jina la king of romantic upande huo anaweza Sana , usku wa rayvanny safi kabisa ana nyimbo tamu Sana na pia nataman afanye korabo na msanii kama Adelle hvi au Ariana Grand, nyimbo za kubembeleza jamaa anazijua , bas Tu ndo kama hv analoose focus Sana , amepiga nyundo Kali ya ex boyfriend mara anakuja na miss buza sjui korona aah kero somtyme
Rayvanny anazingua anashindwa kukaa sehemu moja anachanganya mashabiki wake ..mara tetema mara vumilia
 
Wengi tu ukifuatilai mziki unaohit kenya ni watanzania
Kuanzia akina Barnaba
Ruby
J melody
Nandy
the list goes on wote kwa namna moja ama nyingine wamepita THT
Jamaa katoa vipaji vingi sana tatizo ilikuwa kwa hivyo vipaji kujiendeleza vyenyewe.
Na mimi nimekuuliza swali hao mameneja wa diamond mbona hao wasanii kabla ya kujiunga WCB wakiwa chini yao walifail wapi kuwaendeleza?
Halafu Huyo Ray Vany mbona unamwita msanii wa kimataifa wakati maisha yake siyo ya kimataifa au ananyonywa?
Juzi juzi tu katolewa kwenye nyumba aliyokuwa kapanga salasala...
Hapo labda nandy ndo kidogo anafanya.Rayvanny yupo level za juu Sana kwanza ni msanii pekee Tanzania ambaye ameshinda tuzo ya BET ngoma zake zinauzika Sana lakini pia ndio msanii wa pili mwaka Jana alipata show nyingi za nje ukimtoa diamond na moja ya show take alifanya hispania spotfy ana stream kubwa hata listeners wengi katika nchi tofauti tofauti.Ndomaana kila tuzo zikitoka za nje ya nch lazima Rayvanny Angie kwenye nominees.Tukija kwenye maisha binafsi ya Rayvanny sizani Kama Ray ana maisha ya kawaida Kama anaenda Prado na anamnunulia gari Kali S2kizz (producer) mwaka Jana tu kawanunulia mafuta madereva wa bodaboda 50 mafuta ya 10000 ukiachana na hapo Rayvanny ana studio yake na video director wake binafsi kuwa na nyumba ya kupanga sio kwamba huna hela angalia aina ipi ya nyumba unapanga.
 
Wengi tu ukifuatilai mziki unaohit kenya ni watanzania
Kuanzia akina Barnaba
Ruby
J melody
Nandy
the list goes on wote kwa namna moja ama nyingine wamepita THT
Jamaa katoa vipaji vingi sana tatizo ilikuwa kwa hivyo vipaji kujiendeleza vyenyewe.
Na mimi nimekuuliza swali hao mameneja wa diamond mbona hao wasanii kabla ya kujiunga WCB wakiwa chini yao walifail wapi kuwaendeleza?
Halafu Huyo Ray Vany mbona unamwita msanii wa kimataifa wakati maisha yake siyo ya kimataifa au ananyonywa?
Juzi juzi tu katolewa kwenye nyumba aliyokuwa kapanga salasala...
Tatizo Hawataki Tuendelee
 
Diamond anafanya msaada na pia anafanya biashara angalia alipowatoa kina Rayvanny, harmonize alafu angalia walivyo sasa harmo alikuwa mmachinga wa kuuza vitu vidogovidogo hata baisketi alikuwa haiwezi kumiliki huyo Rayvanny alifeli four 4 Hana mbele Wala nyuma mboso ana mwaka 1 na nusu ndani ya WCB teyali amewanunulia wazazi wake nyumba kali lakini pia kawafanya wasanii wake wafanye vizuri international kuliko hata watu Kama benpol, Jux ambao wameanza game kuliko hata Rayvanny.Tukija kwa ruge niambie msanii gani amemsaidia kufika level ya international from scratch?barnaba ni msanii fundi lakini Hana maisha mazuri Wala Hana mafanikio ya mziki.
Kwani Huyo diamond alitokea mikononi mwa Nani ? Unajua colabo ya davido kulikuwa na mkono wa ruge au ulikuwa kwenu namtumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo labda nandy ndo kidogo anafanya.Rayvanny yupo level za juu Sana kwanza ni msanii pekee Tanzania ambaye ameshinda tuzo ya BET ngoma zake zinauzika Sana lakini pia ndio msanii wa pili mwaka Jana alipata show nyingi za nje ukimtoa diamond na moja ya show take alifanya hispania spotfy ana stream kubwa hata listeners wengi katika nchi tofauti tofauti.Ndomaana kila tuzo zikitoka za nje ya nch lazima Rayvanny Angie kwenye nominees.Tukija kwenye maisha binafsi ya Rayvanny sizani Kama Ray ana maisha ya kawaida Kama anaenda Prado na anamnunulia gari Kali S2kizz (producer) mwaka Jana tu kawanunulia mafuta madereva wa bodaboda 50 mafuta ya 10000 ukiachana na hapo Rayvanny ana studio yake na video director wake binafsi kuwa na nyumba ya kupanga sio kwamba huna hela angalia aina ipi ya nyumba unapanga.
We mjinga Sana Huyo Rayvan anaishi Tabata ninamjua fika, na last week ameshindwa kulipa Kodi na soon anaweza kufukuzwa... Hizi sio story ni Hali halisi panda daladala nenda tabata kaulize uoneshwe kwake halafu uliza Madalali wa hayo maeneo.


Yani unakuja kupima mafanikio ya muziki wa rayvan kwa kumiliki Prado ambalo sio hela Yake iliyonunua. Unapima uwezo wake kwa kujazia watu petrol... Asikudanganye mtu kijana wasanii wa Wasafi hususani Rayvan ana njaa kali mno. Mwaka Jana yule demu wake alishindwa kutoa mchango wa harusi ya ndugu Yake aliyoahidi yeye na Rayvan ... Niishie hapa sitaki nimwage mengi hadharani kwa kukufurahisha wewe poyoyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mjinga Sana Huyo Rayvan anaishi Tabata ninamjua fika, na last week ameshindwa kulipa Kodi na soon anaweza kufukuzwa... Hizi sio story ni Hali halisi panda daladala nenda tabata kaulize uoneshwe kwake halafu uliza Madalali wa hayo maeneo.


Yani unakuja kupima mafanikio ya muziki wa rayvan kwa kumiliki Prado ambalo sio hela Yake iliyonunua. Unapima uwezo wake kwa kujazia watu petrol... Asikudanganye mtu kijana wasanii wa Wasafi hususani Rayvan ana njaa kali mno. Mwaka Jana yule demu wake alishindwa kutoa mchango wa harusi ya ndugu Yake aliyoahidi yeye na Rayvan ... Niishie hapa sitaki nimwage mengi hadharani kwa kukufurahisha wewe poyoyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Kama nani wake?
 
We mjinga Sana Huyo Rayvan anaishi Tabata ninamjua fika, na last week ameshindwa kulipa Kodi na soon anaweza kufukuzwa... Hizi sio story ni Hali halisi panda daladala nenda tabata kaulize uoneshwe kwake halafu uliza Madalali wa hayo maeneo.


Yani unakuja kupima mafanikio ya muziki wa rayvan kwa kumiliki Prado ambalo sio hela Yake iliyonunua. Unapima uwezo wake kwa kujazia watu petrol... Asikudanganye mtu kijana wasanii wa Wasafi hususani Rayvan ana njaa kali mno. Mwaka Jana yule demu wake alishindwa kutoa mchango wa harusi ya ndugu Yake aliyoahidi yeye na Rayvan ... Niishie hapa sitaki nimwage mengi hadharani kwa kukufurahisha wewe poyoyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
You sound desperate...

Sent from my SM-A105G using Tapatalk
 
Me huwa sielewagi wasanii wakiwa front kwa camera wanajimwambafy kuwa wana maisha mazuri ila kila wakati tunashuhudia vituko tu nara kutumuliwa appartment walizopanga kwa kushindwa kulipa kodi, mbaya zaidi wakiumwa lol aibu tupu bakuli lazma litembezwe khaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania tumejaa wanafiki tupu, hatupendi mafanikio ya wengine.

Kwani wasanii wapo WCB tuu, wakati kuna waimbaji wa bongo fleva karibia milion.

Siku zote wenye mafanikio tunawaita freemason, hizi akili sijui nani alituroga na kutuachia watz.

#mond forever
 
.Diamond anammiss Harmonize, hakuna msanii kama Harmonize Wasafi, ule ndo ulikuwa usajili bora na nachelea kusema unaweza ndo ukawa usajili bora zaidi kt historia ya Wasafi, Nyimbo alizoimba Mondi na Harmo zimesafiri umbali mrefu sana kuliko collable yoyote east africa, Harmo alimbeba Mondi ndani yake, alipokuwepo Harmo hapakuwa na sababu sana Mondi awepo.

Sijui umefanyia wapi huu utafiti. 😹
Ngoma alizofanya na Rayvanny ndio zimeenda sana zina ma viewers wengi mfano Tetema, na Nyegezi hiyo Kwangwaru hata haifiki.

Japo Harmonize wakati wake ulishafika wa kujitanua zaidi, wamemtoa ili wapumbavu waone hayupo tena na Simba.
 
Back
Top Bottom