Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

ALIPATA KUNENA HAYA...

Mwalimu wa zamani wa klabu ya Real Madrid ambae pia alipata kuwa mchezaji wa timu hio na kuichezea mechi zaidi ya 400 Mhispania Vicente Gonzales del Bosque aliwahi kukaririwa akisema kuwa, kipindi anainoa klabu ya Real Madrid, kitu pekee ambacho klabu ya Barcelona walikuwa wakishangilia ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa klabu hio ya Calatan na si zaidi ya hapo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…