Mwalimu wa zamani wa klabu ya Real Madrid ambae pia alipata kuwa mchezaji wa timu hio na kuichezea mechi zaidi ya 400 Mhispania Vicente Gonzales del Bosque aliwahi kukaririwa akisema kuwa, kipindi anainoa klabu ya Real Madrid, kitu pekee ambacho klabu ya Barcelona walikuwa wakishangilia ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa klabu hio ya Calatan na si zaidi ya hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.