Facts zilizotokea katika Viwanja mbalimbali vya michezo

✓ Man Utd 2-2 Derby (7-8 on pens)
✓ Spurs 0-2 Chelsea
✓ Chelsea 2-1 Spurs

Lampard amemkalisha tena Mourinho...
 
Frank Lampard is the first manager to beat José Mourinho in each of his first two Premier League games against him.

22nd December: Spurs 0-2 Chelsea
22nd February: Chelsea 2-1 Spurs

Bow to the master
 
Jadon Sancho Mpaka sasa amehusika katika kufunga magoli 27 kwenye Bundesliga msimu huu

❍ mechi 21
❍ Assist 14
❍ Magoli 13
 
1. Amepiga mashuti 5
2. Mashuti 5 yamelenga goli
3. Na amefunga magoli 4

Lionel Messi is back with a BANG.
 
Cristiano Ronaldo hii leo amecheza mechi yake ya 1000 Inayotambuliwa na kufunga goli lake la 725 👏👏👏
 
Galam galam,

Katika thread hii tutapashana facts zilizo tokea katika viwanja mbalimbali vya michezo ama katika duru za michezo ulimwenguni.

Ruhsa kwa yeyote kuwasilisha takwimu ama habari ya mchezo aupendao.

Bismillah.

Jezi namba 10 ya Klabu ya Napoli imestaafishwa kwa heshima ya Diego Armando Maradona
 
Mpaka sasa ni wachezaji watatu tu ambao wamefunga goli katika mechi 11 mfululizo za msimu mmoja katika historia ya Serie A:

Gabriel Omar Batistuta 1994/95
Fabio Quagliarella 2018/19
Cristiano #Ronaldo 2019/20
 
KIKOSI CHA AC MILAN KITAKACHO KWAANA NA FIORENTINA USIKU HUU NI KAMA IFUATAVYO...

Donnarumma, Conti, Gabbia, Romagnoli, Hernandez, Kessie, Bennacer, Castillejo, Calhanoglu, Rebic, Ibrahimovic.
 
Luis amefunga Bao moja na Kusababisha Jingine Simba ikiitandika Biashata bao 3-1
Luis amedhihirisha kile Yanga walichokuwa wakisema kuwa ni mchezaji mzuri na walimwona kwa macho makali.ila waliyekuja kumpata ni Simba.
 
penati 4 za mwisho walizopiga Manchester City katika Premier League zote wamekosa...
 
Penati alio okoa Kasper Schmeichel iliopigwa na Sergio Aguero ni ya 4 kuokolewa na kipa huyo katika premier league mpaka sasa.

Amemzidi Baba yake Peter ambae alidaka penati 3 katika historia yake ya kucheza Premier League
 
Messi dhidi ya Eibar:

Michezo 11
Magoli 19
 
Serie A have postponed three games because of the Coronavirus.

The games taking place in Lombardy and Veneto are affected:
– Atalanta vs. Sassuolo
– Verona vs. Cagliari
– Inter Sampdoria
 
Cristiano Ronaldo amefunga magoli 42 katika mechi 52 za serie A tangu kuanza kwa msimu wa 2018/19.

❍ magoli 28 kwa mguu wa kulia
❍ Magoli 8 kwa mguu wa kushoto
❍ Magoli 6 kwa kichwa

❍ magoli 41 ndani ya box
❍ goli 1 nje ya box

o❍ Magoli 12 ni ya penati
 
Lionel Messi Amefunga magoli 54 katika michezo 54 ya La Liga tangu kuanza kwa msimu wa 2018/19

❍ Magoli 49 kwa mguu wa kulia
❍ Magoli 5 kwa mguu wa kushoto

❍ maagoli 37 ndani ya box
❍ Magoli 17 nje ya box

❍ Magoli 10 ni ya free kick
❍ Magoli 6 ni ya penati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…