Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri aibuUto kama uto
Uwa anacho kichaka chake cha kujenga timu mwaka mzima anajengaga timu,,akishinda anakwambia tunautaka ubingwa🤣🤣Kasema timu ndo kwanzaa ipo 58% ya ubora. Anasubiri dirisha kubwa aifikishe angalau 90%.
Anajenga timu. Ubingwa ni matokeo mkuu.Uwa anacho kichaka chake cha kujenga timu mwaka mzima anajengaga timu,,akishinda anakwambia tunautaka ubingwa🤣🤣
Mashabiki uchwara bwana, ulaya huko kuna timu iko kwenye hati hati ya kushuka daraja lakin wanakomaa na project.Huyu anafaa kuwa kocha wa viungo. Hana mbinu za maana uwanjani haswa timu ikielekea mechi ngumu na za kimataifa.
Sioni akimaliza siku 30 kuanzia Leo pale Msimbazi.
Tz wengi wana mahaba na timu na sio mpira wa miguu. Makocha wana kazi ngumu sanaWanakufa Man City goli mpaka tano hatusikii hizi mambo alikufa Madrid 4 hakuna ujinga huu wanajua ni sehemu ya matokeo kwenye mchezo ninyi ambao ligi yenu wachezaji mnawalipa cash mkononi na malipo mengine FIFA ndio wanasimamia wachezaji kupata haki zao hamtaki matokeo ya sare kwenye futbal mnataka matokeo ya kushinda tu kama ngumi za kamari za kina Maywether majaji wapo watatu.
Hawa wasiojua mpira kwa kuandika nyuzi mpya mara Zimbwe aachwe leo hii kafungisha aachwe alipofunga goli moja la ushindi kwa waarabu walisema aongezewe muda yaani kama vile ni watu wa riadha au kuogelea wamejichanganya kwenye futbal..Tz wengi wana mahaba na timu na sio mpira wa miguu. Makocha wana kazi ngumu sana
Machi 8 ndo itakuwa hukumu yake kuwa atabaki au laHuyu anafaa kuwa kocha wa viungo. Hana mbinu za maana uwanjani haswa timu ikielekea mechi ngumu na za kimataifa.
Sioni akimaliza siku 30 kuanzia Leo pale Msimbazi.
Achague Moja sasa kujenga timu au kuutaka ubingwa sio anakuwa kama popo anapofanikiwa anasema hiki akiburuzwa maneno yanabadilikaAnajenga timu. Ubingwa ni matokeo mkuu.