Wanakufa Man City goli mpaka tano hatusikii hizi mambo alikufa Madrid 4 hakuna ujinga huu wanajua ni sehemu ya matokeo kwenye mchezo ninyi ambao ligi yenu wachezaji mnawalipa cash mkononi na malipo mengine FIFA ndio wanasimamia wachezaji kupata haki zao hamtaki matokeo ya sare kwenye futbal mnataka matokeo ya kushinda tu kama ngumi za kamari za kina Maywether majaji wapo watatu.