CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kuelekea Siku ya Jumamosi nimeona nimshauri kocha Fadru kupitia hili Jukwaa la Jamii Forum.
Ninaamini hapa JF kuna viongozi wa simba, Wanachama, Mashabiki na wapenzi wa simba watamfikishia Kocha kwa namna Moja Aman Nyingine.
Baada ya Kocha Fadru Kupoteza Michezo miwili dhidi ya Mshindani wake Mkubwa Yanga , akipoteza na Huu wa Tatu haijalishi Anatengeneza timu ama anajenga timu simba hawatakuwa na Kisingizio tena atakuwa amejiweka Rehani.
Nilimshauri Fadru Direct kusajili Kiungo No 10 hili linamtesa mno hadi Kesho baada ya kusajili Mchezaji mmoja tu Dirisha Dogo mpanzu.
Anyway Ushauri wa Mwisho kwake namshauri aende na ( 4- 3 -2 -1 ) na sio ( 4-2-3-1)
1: Mussa Camala.
2: Shomari Kapombe.
3: Mohamed Hussein.
4: Abdul Hamza
5: Che malone Fondoh.
6: Yusuph Kagoma.
7: Kibu Denis
8: Fabrice Ngoma.
9: Leon Ateba.
10: Debora Ferdnandez
11. Elie Mpanzu kibisawala.
Substitution.
1. Steven Mkwala
2. Jean charles Ohua
3. Joshua Mutale.
4. Nouma.
5. David kameta.
N: B
CHONDE CHONDE CHONDE FADRU USITHUBUTU KUMUANZISHA JEAN CHARLES OHUA
Ninaamini hapa JF kuna viongozi wa simba, Wanachama, Mashabiki na wapenzi wa simba watamfikishia Kocha kwa namna Moja Aman Nyingine.
Baada ya Kocha Fadru Kupoteza Michezo miwili dhidi ya Mshindani wake Mkubwa Yanga , akipoteza na Huu wa Tatu haijalishi Anatengeneza timu ama anajenga timu simba hawatakuwa na Kisingizio tena atakuwa amejiweka Rehani.
Nilimshauri Fadru Direct kusajili Kiungo No 10 hili linamtesa mno hadi Kesho baada ya kusajili Mchezaji mmoja tu Dirisha Dogo mpanzu.
Anyway Ushauri wa Mwisho kwake namshauri aende na ( 4- 3 -2 -1 ) na sio ( 4-2-3-1)
1: Mussa Camala.
2: Shomari Kapombe.
3: Mohamed Hussein.
4: Abdul Hamza
5: Che malone Fondoh.
6: Yusuph Kagoma.
7: Kibu Denis
8: Fabrice Ngoma.
9: Leon Ateba.
10: Debora Ferdnandez
11. Elie Mpanzu kibisawala.
Substitution.
1. Steven Mkwala
2. Jean charles Ohua
3. Joshua Mutale.
4. Nouma.
5. David kameta.
N: B
CHONDE CHONDE CHONDE FADRU USITHUBUTU KUMUANZISHA JEAN CHARLES OHUA