Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

Sasa mna kikosi gani tofauti na hicho?

Simba hawana kikosi kipana.
Ukitoa First Eleven yao.

Nimemtoa Jean Charle Ohua kwenye No 10 nimemuweka Debora Ferdnandez Mavambo.

Kuna swali mkuu????
 
Unafundisha team gani hapa bongo?Tuanzie hapo!

UEFA B LICENCE

Inahusisha Kocha kufundisha timu za vijana na ngazi ya Chini ya soka.

Inahusisha mbinu za Michezo.
Ufundishaji wa Mchezaji Binafsi.
Na maendeleo ya timu.

Hope nimekujibu.
 
Watani wa jadi wataumana kiume siku hiyo
IMG_20210914_182408.jpg
 
Kwani kocha ameomba ushauri ama msaada nje ya benchi la ufundi?

Acheni kumpangia kazi kibongo bongo, anao ujuzi wa kutosha kuliko wewe mshauri ambaye hujawahi kuwa kocha hata kwa wanao.

Ubaya Ubwela.
Mmeshaaza kuvurugana Madunduka, hayo mavurugano yenu tunawaomba yaishie humu humu mitandaoni mana hamchelewagi kuyaleta kwa Mkapa na hatimae mkang'oa viti shubamiti nyie.
 
Sasa Boka akisababisha tuta dk ya 16 utapiga wewe?
Jean Charles Ahou ni lazima aanze kuwamaliza Yanga
 
Fadru ndio nani mkuu?

Wengine hatufuatilii kwa Ufasaha sana Mpira na Majina ya Makocha na wachezaji

Sina Uhakika Kama nimeandika kwa ufasaha Majina ya...
Che malone Fondoh.
Mussa Camala.
Abdulazack hamza.
Fadlu Davis
Ohua Aohua nk

Siyajui kabisa Mkuu nisamehe kwa Ujinga wangu.
 
Msamehe Mkuu huyo yeye anawaza Kuongele na Kubishana Simba na Yanga.

Mimi naongelea Michezo
Ufundi, ukocha , Mifumo, ushauri nk

Hajui tofauti ya jukwaa la Michezo na Jukwaa la Ushabiki wa Simba na Yanga.
Na Jukwaa la watani wa Jadi
wewe ni zwazwa kama mazwazwa wengine,kwa hiyo asipopanga kikosi chako hicho na akashinda tukufanyaje? Me nashauri ushikwe mbupu zako hizo kama unahasiwa.
 
Back
Top Bottom