Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

Atakusamehe Fadru
 
UEFA B LICENCE

Inahusisha Kocha kufundisha timu za vijana na ngazi ya Chini ya soka.

Inahusisha mbinu za Michezo.
Ufundishaji wa Mchezaji Binafsi.
Na maendeleo ya timu.

Hope nimekujibu.
Ndio Umejibu Ila sijaona sehemu Ya Kazi.
Naona kama umepiga chabo!
Inakuwa hivi:
SwAli
Kazi
Jibu

Alafu vyeti sio ukocha kocha ni yule aliyopo Field Anafundisha kwa vile unavyoshauri haujavipractice huna mamlaka ya kumshauri kocha kama fadlu.
Wewe bado unaishi kwenye vitu vya kufikirika na sio uhalisia.
 
Yaani wewe unampangia kocha kikosi? Si uombe kozi ya ukocha tu?
 
Tumekusikia mzee wa Goba! Msalimie chasambi maana nae anaishi huko goba. Karibu chimbo kwa mtoro, ama kwa Tito muuza mbuzi.
 
Kitendo Cha kumuweka Debora namba 10 kimedhihirisha kuwa wewe UNAUJUA mpira na haujakalili,Debora ana confidence,ana nguvu,mnyumbulifu na yupo aggressive kuliko dogo Ahoua ambaye akiguswa tu chini au anachelewesha kutoa mipira
 
Tafadhari, Chasambi na Kijili wasikose...!!
 
Ahoua aanze ...Debora aingie Sub
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…