Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Alphad zimevamiwa kama zilizovamiwa TAKO la Nyani na IST ,mtu wa kwnza kununua Alphad ni Wolper kitambo sana alikuwa nayo baada ya hapo watu wakaanza kuzivamia kisa Wolper alikuwa anaendesha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu hayo yote ukiyaongelea kwa Mara moja utakuwa huna cha kufanya? Pili lengo nilianza na alieuliza tofauti ya alphard V na G ndio kilikuwa kifaumbele changu, tatu kwani kuna sehemu nimeandika kwamba ndio nimemaliza?