Fahamu aina tatu ya tabia za binadamu na sifa zao

Kitu pekee ambacho unacho na unakimilikia wewe ni tabia peke yake,wala hazifanani na wengine na hyo ndio utambulisho wako binafsi..
 
Kitu pekee ambacho unacho na unakimilikia wewe ni tabia peke yake,wala hazifanani na wengine na hyo ndio utambulisho wako binafsi.. Umeandika vzr nmekuelewa sana
 
Kitu pekee ambacho unacho na unakimilikia wewe ni tabia peke yake,wala hazifanani na wengine na hyo ndio utambulisho wako binafsi.. Umeandika vzr nmekuelewa sana
Ni kweli mkuu wangu.. Ahsante sana kwa Appreciating
 
Super Thread Ever.

Kwa bahati nzuri au mbaya sijaona kundi langu, labda kwa wanao nitizama.
Angeelezea introvert na extrovert kwa makundi manne usingejikosa!! Binafsi naona hajawaelezea hawa Sanguine hili ni kundi linalotoka ktk extrovert,watu ambao hawana lile shipa la aibu! Hawa ndio wazee wa show off wanapenda kusikilizwa,Ni washawishi wazuri,waongeaji,wachekeshaji,wanashauku Sana,si wazuri ktk ratiba! Yani hawana ratiba maalum ye kitu kikimgusa tu tayari twende,ni very social na huwa na marafiki wengi, hupenda kujulikana(kuwa maarufu).
Hupendelea kufanya kazi za kuonekana ili apate sifa n.k na hawapendi kazi ngumuuu!😎
Kazi wanazopendelea kufanya ni Kama kuwa mtangazaji(mshehereshaji),uanamuziki,uchekeshaji n.k si kila mwenye hizo kazi Ni kutoka kundi hili hapana ila wengi wao hutoka hapa.. Dully Sykes ni moja ya kiumbe niliemtazama na kugundua anatoka kundi hili..

Ukiifahamu saikolojia kiundani Kuna watu utajua wanafaa wapi na wapi na ukiwa unaakili kubwa utaweza kuwaendesha kwani kila mmoja unajua udhaifu wake na uimara wake!,na elimu hii ikitumika ktk kuendesha kampuni unaweza kupata wafanyakazi unaowataka na ukafika unapopataka ila muda ndo unaohitajika!! Kuwasoma watu si jambo jepesi ila moja kati ya kundi jepesi kuwasoma ni hawa niliokutajia hapa.. wapo wengi ktk jamii hata likitokea tukio hawa wanakuwa wakwanza kufika na kuanza kutoa msaada tofauti na makundi mengine kidogo mpk wajivute fulani hivi hasa introvert maana hawa mara nyingi ni watu wa mantiki!! Maswali ya kwanini..? Kivipi..? Muda gani..? Hutoka kwao ni kwamba hawafanyi kitu kihisia zaidi ila in logics.
 
Unaongea lugha ya Mungu mkuu. Maana unaongea point zile zile..
Wewe si unaona serikali yetu inajua saikolojia yetu wote waTZ inatupeleka inavyoweza
 
Unaongea lugha ya Mungu mkuu. Maana unaongea point zile zile..
Wewe si unaona serikali yetu inajua saikolojia yetu wote waTZ inatupeleka inavyoweza
Ha ha huko kwenye serikali sipo huko unazungumzia social psychology Kuna wanaojua kucheza nayo.. hapa ni personality psychology kwenye jamii inaaminika Sanguine ni wengi kushinda makundi mengine..
 
Binafs 65% Nipo kundi LA 3 na 35% Nipo kundi LA 2.. Sina Tabia yoyote toka KUNDI no.1. Sasa kuna wakati Tabia za KUNDI LA 3 zinanigharimu na kuonekana mtu mkatili hasa katika mahusiano ya kimapenzi.. Yaani sijali kumuumiza MTU wala kumsaliti.. Nifanyeje ili niweze Kurejea KUNDI no.2 full.???
 
Duuh pole sana. Je unaoishi nao wanasema nini kuhusu wewe?
 
Assertiveness Behaviour

Mkuu kuna kitu umesahau kundi hili ndio tunaongoza kwa kuishi maisha ya maumivu/msongo kuliko maana tunawafanyia sana watu kuliko wanavyotufanyia sisi.Tunabeba mambo mengi sana vichwani mwetu, kwasababu muda wote unahisi kama kila jambo linalokwenda tofauti mbele yako Ni wajibu wako kuliweka sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…