Fahamu aina tatu ya tabia za binadamu na sifa zao

7 billion people on Earth 🌍 you categorize them in three personalities... jokes right?
 
D
Idiot Embicile,
Sasa wajua kwanini nasema I'm worthless? Ndio maneno niliokua naambiwa: Huna akili, una damu ya kunguni, una roho mbaya, mjinga, mpumbavu, kila jina baya.
Dah mkuu,in my opinion ni wazi hayo maneno yamekuathiri sana na na huenda vile unavyojitathmini kama mtu kumebase kutokana na hayo maneno uliyokuwa ukiambiwa mara kwa mara,kwani mkuu ni kweli wewe uko kulingana na hayo maneno? maana hata nikiangalia signature yako mmmhhhh
 
Mkuu hapo ulipoelezea mwishoni kabisa ndio mimi na pale ulipoanza kuelezea mwanzoni kuna ndugu yangu mmoja ndio yuko hivyo mpaka zile aina za kazi ulizozitaja pia amezipitia.
Hili somo halijawahi kukosea kabisa.
Yaani mimi kila kitu ninachofanya hata kama ni kidogo lazima nitumie logic,yaani kwa mfano hata ukinifuata ukaniomba elfu 5 ya kula chakula nitaanza kukuhoji na kufanya uchambuzi wa kina kwa nini umekosa elfu 5?nitaanza kuichambua background yako kuanzia miaka 5 nyuma baadae nitaanza kuchambua tabia zako na aina ya kazi unayofanya na ukubwa wa mshahara wako na kama unahonga sana au ni mlevi pia nitajua nikashajua haya yote ndio baadae nitakuita nikupe hiyo elfu 5.
Sasa kutokana na hii tabia muda mwingine watu hunichukia mtaani na kuniona kama mkoloni.
 
✌️
 
Msinenee watoto wenu maneno mabaya yanaathiri sana.
Sasa nitafanyaje mkuu nishazoea to be as my signature

Duh aisee mkuu,maneno yako yanaum yaani mpaka ndani kabisa aisee,

kwanza am so sorry about that,ni experience mbaya sana mkuu,

lakini mkuu kwani mpaka sasa hujaachieve chochote kikakufanya uwaporrove wrong wote waliokuwa wakikusemeaa mabaya?

au huwezi fanya chochote ukihofia au kuamini hutaokaa uachieve kwa kuwa wewe ni damu ya kunguni?

ushawahi kujaribu kuwa kinyume na majina ambayo umekuwa ukipewa ulipokuwa ukikua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…