Fahamu alipo malaika aliyepewa jukumu la kulinda bustani ya Edeni

Fahamu alipo malaika aliyepewa jukumu la kulinda bustani ya Edeni

bustani ya edeni ni wapi kwa dunia ya sasa,? alafu kama bustani ya edeni iliharibiwa na gharika, vipi mti wa uzima wa milele nao uliharibiwa, maana malaika waliwekwa kulinda njia iendayo kwenye mti wa uzima wa milele nao uliharibiwa?
 
Alipo malaika aliepewa jukumu
LA kulinda bustani ya edeni baada
Ya muanguko

Mafukuzo ya Mungu.baada ya Adam
Na kipenzi chake Hawwa au Evah
Kula mti wa ujuzi wa mema na mabaya
Kitendo kilichomkasirisha.Mungu mwenyenzi
Na kuwafukuza kumiliki bustani nzuri
Mno ya Eden baada.ya kupewa kadi nyekundu Mungu
Aliweka Makerubi malaika mwenye upanga mkali wa moto
Kulinda mtu aliendee njia hiyo
Je malaika aliepewa jukumu la kulinda alionekana kwa macho ya
Kawaida jibu Biblia haikoa lakini kitabu
Cha Enosh kinaeleza alikuwa anaonekana
Kama kivuli hashikiki akiwa na chapeo
Ya dhahabu na dirii za fedha na Jambia ya kukata
Kuwili wa chuma na aliwaka kama Jua

Makerubi huyu aliinda bustani kwa muda gani

Kerubi aliinda kwa muda wa mgawo wa miaka 1600
Kufuatia gharika la Nuhu kuiharibu vibaya sana
Bustani ya Eden hivyo kupotezwa kwa bustani ile
Na gharika.la Nuhu kukawa mwisho wa
Kerubi kulinda sababu hiyo yule malaika
Nae akarudi Mbinguni baada ya mgawo kukamilika
Bible ina contradict mambo dah..
Hivi ...Eden ... Peponi ..mbinguni ..ni sehemu tofauti??
 
Nachojua...
Malaika huyu alikuwa anaitwa Melkizedeki na baada ya anguko la Adamu alikuwa na jukumu moja kubwa sana la siri alilopewana Mwenyezi Mungu.

Lakini baada ya bustani kupotwezwa wakati wa Nuhu, hakurudi mbinguni kama unavyodai, ila alikaa duniani akitekeleza jukumu lake hilo tangu kizazi cha Nuhu mpaka alipozaliwa Ibrahimu.

Aliweza kutekeleza jukumu hilo akivaa mwili wa mwanadamu na kuchukua maumbo tofauti tofauti na huyu ndiye kwenye kitabu cha Mwanzo 14:18 anaonekana kama Kuhani wa Salem wa Mungu aliye juu sana.

Alipomaliza kazi yake hiyo alimkabidhi Ibrahimu mikoba rasmi.
Hapo ndipo alipoondoka na kurudi rasmi mbinguni.

Msiniulize jukumu lake hilo la siri , maana ni la siri.
Siri ya mtungi aijuaye kata, siri za Mungu wazijua malaika wake, wewe umezitoa wapi ndugu? Au we mwenzetu ni jasusi la kiulimwengu!
 
Nachojua...
Malaika huyu alikuwa anaitwa Melkizedeki na baada ya anguko la Adamu alikuwa na jukumu moja kubwa sana la siri alilopewana Mwenyezi Mungu.

Lakini baada ya bustani kupotwezwa wakati wa Nuhu, hakurudi mbinguni kama unavyodai, ila alikaa duniani akitekeleza jukumu lake hilo tangu kizazi cha Nuhu mpaka alipozaliwa Ibrahimu.

Aliweza kutekeleza jukumu hilo akivaa mwili wa mwanadamu na kuchukua maumbo tofauti tofauti na huyu ndiye kwenye kitabu cha Mwanzo 14:18 anaonekana kama Kuhani wa Salem wa Mungu aliye juu sana.

Alipomaliza kazi yake hiyo alimkabidhi Ibrahimu mikoba rasmi.
Hapo ndipo alipoondoka na kurudi rasmi mbinguni.

Msiniulize jukumu lake hilo la siri , maana ni la siri.
Hivi hizi habari mmezipata wapi? Nani alikuwepo wakati haya yanatokea? Hapa hizi haidithi za kusadikika zilizoandikwa waandishi mahiri zimeingia sana akilini mwa wengi.
 
Back
Top Bottom