Fahamu athari ya spirit of a man/woman (1 & 2)

Fahamu athari ya spirit of a man/woman (1 & 2)

Mandela5599

Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
93
Reaction score
306
Hizi ni roho ambazo shetani amekua akipandikiza kwa watu wengi wa kizazi cha leo kwa nia ya uharibifu. Spirit of man mwanaume kuvutiwa kimapenzi na mwanaume mwenzie vivyo hivyo kwa upande wa wanawake. Hizi roho zimemwagwa kwa vijana wengi sana kupitia ponography, laana kwenye familia, marafiki na historical background za watu.

Mungu amemuumba mwanaume kwaajili ya mwanamke na mwanamke kwaajili ya mwanaume. Kuwa na hisia tofauti na alizo zifanya Mungu ni roho ambayo imepandikizwa ndani yako kwa njia tofauti tofauti za kiroho bila kwakujua au bila kujua

Nimepata uzoefu sana wa kuona watu wenye changamoto hizi kwa kufwatilia huduma za Nabii T.b Joshua kwa muda mrefu na kuona akifanya delivarence kwa watu wa namna hii. Delivarence kwa watu hawa ilipelekea T.b Joshua kufungiwa channel yake ya YouTube hivi karibuni

Hii roho shetani akifanikiwa kuipandikiza kwako anapata nafasi ya kushambulia mambo mengi sana kwenye maisha yako kama uchumi, afya, uwezo wa kufikiri, na mahusiano mabaya kati yako na watu wengine. Wengi sana wenye hizi spirit wasipo washughulikia kwa wakati, huishia kujiua au mara nyingi sana conclusion yao nikutaka kujiua. Huwezi kufanikiwa kama hii spirit iko ndani yako

Biblia inasema "Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho." You don't need to fight them physically

Kama wewe sio mtu wa kumwomba Mungu unakua kwenye hatari ya kushambuliwa na hizi roho. Tengeneza njia zako na Mungu

Ukipita kwenye mitandao mingi ya kijamii kuna watu wengi sana wanatumika kama satanic agents ku-stimulate hizo spirit kwa vijana. Wengine wanajua na wanapewa assignment ila wengine hutumika bila kujua. Sometimes unaweza kuona ni jambo la kawaida ila haiko hivyo ndugu yangu

Mafanikio yako katika maisha yanaanzia rohoni, shetani ni roho so ili akumalize anashambulia roho yako kwanza. Akifanikiwa rohoni uwe na uhakika hutaweza kufanya kitu kifanikiwe. Note my words.

Usikubali kabisa kuwa part of this distractive things. Kama una tatizo hilo tafuta solution spiritual and you will be free in Jesus Christ name

Be blessed
 
Hizi ni roho ambazo shetani amekua akipandikiza kwa watu wengi wa kizazi cha leo kwa nia ya uharibifu

Spirit of man mwanaume kuvutiwa kimapenzi na mwanaume mwenzie vivyo hivyo kwa upande wa wanawake.

Hizi roho zimemwagwa kwa vijana wengi sana kupitia ponography, laana kwenye familia, marafiki na historical background za watu.
Umeongea point kubwa sana sanaaa ila shida vijana wamejazana kwenye uzi kula kimasihara😢
 
Inanibidi tu na mimi niseme amen! Japo mafundisho ya aina hii hayajawahi kuwa karibu na uhalisia,yaani hawa akina Tb huwa wanalazimisha kuyaburutia upande wao,wanalazimisha na kutengeneza mythologies kibao ili kuegemeza jukwaa lao,mambo ni mengi,ila mengi si mambo
 
Inanibidi tu na mimi niseme amen! Japo mafundisho ya aina hii hayajawahi kuwa karibu na uhalisia,yaani hawa akina Tb huwa wanalazimisha kuyaburutia upande wao,wanalazimisha na kutengeneza mythologies kibao ili kuegemeza jukwaa lao,mambo ni mengi,ila mengi si mambo
Hayajawahi kuwa na uhalisia kivipi? Kwamba hayo mambo hayapo au!!
 
Hivi inawezekanaje mwanaume ukadisa kwa kuangalia tako la mwanaume mwenzako?
 
Ubarikiwe sana mtumishi mwaminifu wa Mungu wetu.Mungu amekutumia vizuri kuachilia ujumbe wake.Tuendelee kuliombea Taifa na vizazi vyetu vyote.Kuna wale wanaobeza, Ni hivi utajisikiaje pale utakaposikia kwamba binti yako ameolewa na binti mwenzie,au kijana wako wa kiume ameolewa na kijana mwezie wa kiume.
 
Halafu hii agenda inapat push ya kutosha sana ya international community.Na kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye kufanikisha hii agenda kwa sababu pia Shetani anapata mailage kubwa sana.Hasa hii free media,kuna tupwa kilankitu humo na kuaminisha vijana wetu kwamba huu ndiyo ukisasa
 
Halafu hii agenda inapat push ya kutosha sana ya international community.Na kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye kufanikisha hii agenda kwa sababu pia Shetani anapata mailage kubwa sana.Hasa hii free media,kuna tupwa kilankitu humo na kuaminisha vijana wetu kwamba huu ndiyo ukisasa
Sio media tu sahv kila tasnia inajaribu kulipa nguvu hili jambo ili watu walione la kawaida. We angalia tu kuanzia kwanye michezo na burudani, siasa na uongozi nk
 
Halafu hii agenda inapat push ya kutosha sana ya international community.Na kuna uwekezaji mkubwa sana kwenye kufanikisha hii agenda kwa sababu pia Shetani anapata mailage kubwa sana.Hasa hii free media,kuna tupwa kilankitu humo na kuaminisha vijana wetu kwamba huu ndiyo ukisasa
Sahihi sana ndugu
 
Ubarikiwe sana mtumishi mwaminifu wa Mungu wetu.Mungu amekutumia vizuri kuachilia ujumbe wake.Tuendelee kuliombea Taifa na vizazi vyetu vyote.Kuna wale wanaobeza, Ni hivi utajisikiaje pale utakaposikia kwamba binti yako ameolewa na binti mwenzie,au kijana wako wa kiume ameolewa na kijana mwezie wa kiume.
Amen ndugu. Kila mtu a-play part yake kufikisha ujumbe ili kusaidia wengine. Kuna watu wako kwenye vifungo kama hvyo na hawajui waliingia ingia je!! Tuwasaidie
 
Hivi inawezekanaje mwanaume ukadisa kwa kuangalia tako la mwanaume mwenzako?
Hiyo ni roho. Hakuna mtu ambae anatatizo hilo alitaka iwe hivyo. Kuna vitu atakua alifanya vikawa njia ya tatizo. Nimetaja mambo hapo juu kama laana, kuna roho zinavuviwa kwenye pornography, masterbation, marafiki n.k... kwakua kuna uvuvio kwenye mambo hayo kwa namna yoyote ukijihusisha kuna kitu kitaingia ndani yako na kinakua taratibu na baada ya muda flan inakua sehemu ya tabia zako. Mungu anaweza kukuokoa tu kwenye changamoto hizo
 
Back
Top Bottom