Fahamu azimio la Balfour lilipelekea kuanzishwa kwa taifa la Wayahudi katika ardhi ya Wapalestina

Fahamu azimio la Balfour lilipelekea kuanzishwa kwa taifa la Wayahudi katika ardhi ya Wapalestina

silent lion

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
1,278
Reaction score
1,794
Ilikua ni mwaka 1917, Arthur Balfour , alitoa azimio la uungwaji mkono uanzishwaji wa taifa la Wayahudi , Israel.

kwa wakati huo, hakukua na nchi iliokua ikiitwa Israel. ili kufanikisha mpango huo, Uengereza ilihamisha maelfu ya wayahudi Palestina, na iliwasaidia kununua ardhi.

Baadae waplestina waliposhtuka ilikua too late, kwani maharamia hao wa kiyahudi walishajizatiti kutwaa ardhi hio na kupelekea umwagaji mkubwa wa damu za Palestina.

Mwaka 1947 Taifa La Israel likaanzishwa rasmi, na mpaka leo limekua mwiba kwa wapalestina , kwani bado linaendelea kupora ardhi yao na kuwatawala kwa mabavu huku wakiwaua kama kuku bila kujali maazimio ya Umoja wa mataifa, wala kujali sheria za kimataifa.
 

Attachments

  • 20231012_145644.jpg
    20231012_145644.jpg
    110.6 KB · Views: 14
Ilikua ni mwaka 1917, Arthur Balfour , alitoa azimio la uungwaji mkono uanzishwaji wa taifa la Wayahudi , Israel.

kwa wakati huo, hakukua na nchi iliokua ikiitwa Israel. ili kufanikisha mpango huo, Uengereza ilihamisha maelfu ya wayahudi Palestina, na iliwasaidia kununua ardhi.

Baadae waplestina waliposhtuka ilikua too late, kwani maharamia hao wa kiyahudi walishajizatiti kutwaa ardhi hio na kupelekea umwagaji mkubwa wa damu za Palestina.

Mwaka 1947 Taifa La Israel likaanzishwa rasmi, na mpaka leo limekua mwiba kwa wapalestina , kwani bado linaendelea kupora ardhi yao na kuwatawala kwa mabavu huku wakiwaua kama kuku bila kujali maazimio ya Umoja wa mataifa, wala kujali sheria za kimataifa.
si umesema walinunua ardhi , halaf unakuja kutumia neno kupora hv upo timamu kwel?
 
si umesema walinunua ardhi , halaf unakuja kutumia neno kupora hv upo timamu kwel?
mwanzoni walinunua lakini baadae ndo wakaanza kupora na hadi leo wanapora na kuna. Halafu nyie wagalatia mna shobo sana na mayahudi
 
Back
Top Bottom