Fahamu haya kabla hujafa/kupoteza uhai katika ulimwengu huu wa mwili na roho

Hemedy Jr Junior

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
915
Reaction score
1,082
1. Usingizi
2. Ndoto
3. Mateso
4. Ridhiki
5. Afya
6. Uhuru
• Ushawai kuota ndoto yenye mateso,haya unatambua kuwa usingizi ni nusu kifo? na ushawai kuota umeumwa na unapelekwa hospitalin ila gafla ukashutuka na ukajikuta uko na (Afya njema kabisa🙏) ukaamka na kwenda kutafuta Ridhiki, unapata nafasi ya kutafuta kwa sababu uko Huru.
Tafakari chukua hatua............. Kimodomsafi
 
Sijakuelewa bado
 
Mbona umaskini na magonjwa havipo kwenye list yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…