Fahamu haya machache kuhusu Starboy (Wizkidayo)

mafanikio kimataifa
Sijakataa kabisa ila Psquare 2010-2016 walikuwa wa moto sana na ndio maana hata MTV waka wapa tuzo.

Unaposema decade manake una include 2010-2020 ktk hiyo miaka 2010-2016 Psquare wali dominate.
 
Sijakataa kabisa ila Psquare 2010-2016 walikuwa wa moto sana na ndio maana hata MTV waka wapa tuzo.

Unaposema decade manake una include 2010-2020 ktk hiyo miaka 2010-2016 Psquare wali dominate.
Hao Nigeria mkuu sio Mm.


Na Ojuelegba ikawa song of Decade.


Akiipiga chini Fall ya Davido
 
Hao Nigeria mkuu sio Mm.


Na Ojuelegba ikawa song of Decade.


Akiipiga chini Fall ya Davido
Unaweza ukawa na Song of the decade lkn haikufanyi kuwa Artists of decade.

Mimi mtizamo wangu unaangalia hasa MTV walivyofanya tafiti zao na nawaamini MTV wapo vizuri kwenye industry ya mziki.

Ila sijui hao wengine wametumia criteria gani.Ila kama uchambuzi wako umebase ktk hiyo source yako kutoka Nigeria basi sawa.
 
Jamaa mi huwaga wala simwelewi wala nini.
 
Oujuelgiba beat kwanza limetulia sana.

Namuelewa tangu kwenye tease me na holla at ur boy.
 
lakini cha ajabu na kushangaza haswa hajamzidi viewers diamond huko youtube
 
Hamfikii Dogo Fireboy DML,,sema dogolaa hajapata time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…