Fahamu haya machache kuhusu Starboy (Wizkidayo)

Fahamu haya machache kuhusu Starboy (Wizkidayo)

Dollar laki 6 kule India akingia kwenye rekodi ya wasanii waliowahi kufanya show kwa pesa nyingi Ulimwenguni....Nenda Google watakupa ramani kama huamini


Bado hujasema dola za wapi, hata Zimbabwe wanatumia dola mkuu.
 
Wabongo bwana wanafikiri ubora wa msanii unapimwa kwa views za U-Tube. Anyway, Diamond ana views nyingi kwavile anaupload vitu vingi U-Tube hadi behind the scenes/shows/birthdays, etc

Sent using Jamii Forums mobile app
We baki na Views za Youtube alafu wenzako wana Album yenye zaidi ya streams million mia2
 
Hiyo ngoma (ojuelegba) ni moja ya ngoma ambazo napenda sana beat na mixing kwa ujumla. Hata video ilipendeza sana maana jamaa hakuweka mbwembwe nyingi. Ikipigwa hata kama nina huzuni lazima nitikise kichwa.
 
Huyu Mr.JEJE mnamuonea kila post ya kuhusu msanii yoyote lazima mumponde,kwani kosa lake kubwa ni lipi amewahi waambia kuwa anajivunia mafanikio ya kuwa na views nyingi YouTube?
 
Wizkid ngoma zake sizielewagi hata kidogo,ila nashangaa watu wanamkubali kishenzi yaan, huyu dogo sijui mchawi

Mi nawakubali Burna boy,paul wa psquare,mtaalam Davido
 
Wizkid ngoma zake sizielewagi hata kidogo,ila nashangaa watu wanamkubali kishenzi yaan, huyu dogo sijui mchawi

Mi nawakubali Burna boy,paul wa psquare,mtaalam Davido
Wote uliowataja hawaingizi mguu kwa Wiz. Sema sio lazima umuelewe
 
TBT Wizkid form two na bro
20200110_205249.jpg
 
Wote uliowataja hawaingizi mguu kwa Wiz. Sema sio lazima umuelewe
Nasikiliza ngoma moja tu wiz nayo ni come closer ft drake,napo ile part ya mnyama drake..
Lakini kwa Davido nasikiliza fall,if ft r kelly,blow my mind ft chris bree, n.k
 
Nasikiliza ngoma moja tu wiz nayo ni come closer ft drake,napo ile part ya mnyama drake..
Lakini kwa Davido nasikiliza fall,if ft r kelly,blow my mind ft chris bree, n.k
Lkn sio mbaya ngoja tuheshimu mawazo yako...


Kama Wiz hajui kuimba Afrika nzima hakuna mwanamuziki..
 
Back
Top Bottom