Fahamu historia ya Diamond Platnumz juu ya maisha na muziki wake


Hiki ulichoandika ni kitu gani wewe?
 

Maisha hayo amepitia na wewe amekupitia ndio maana umeshikwa masikio
 
Diamond endelea kumpenda,kumjali na kumthamini sana mama yako Mungu yu pamoja nawe utazidi kushine tu.
 

sasa wewe unaijua vizuri historia yake kuliko ndugu yake??? hebu tazama linki hii sikiliza kwa makini kuanzia dakika ya 16... maana unakurupuka kwa vitu usivyovofahamu

https://www.youtube.com/watch?v=0HN-tHXdO-4
 
Maisha hayo amepitia na wewe amekupitia ndio maana umeshikwa masikio

Koma ukomae unadhani ylivyokua unaona wasiotakiwa kupitiana mnapitiana unadhani wote?

Unapewa jibu zuri unaumia roho unakuja kutukana, shame


Unakazania hadi kuleta link kwani hatuijui interview hiyo, unakazania utazani hakuna mengine yaliyochangia. Unataka aende dk ya - - wewe tu ndie ulisikia?... Kumbe umejaa maneno machafu hauna aibu.

hata kama alisema au hakusema so aliyeandika bio ndio kaandika, akitaka asipotaka anaacha mengine unataka aandike kila dk ya siku ilikuwaje?

Usilazimishe kaandike yako

Umesoma umeipenda hadi unaweuka
 
Aiseeee mtoa mada mwongo kuna wimbo diamond kaimba na hemed phd unaitwa i hate you tena ni hip hop
 

Samahani mzurimie. NIMEKOMA! Ila punguzeni uongo na kupendapenda bila sababu
 
khaaa! unamchambua mtu kama unaandaa historia ya marehemu
 
Ili kuweka kumbukumbu sawa, kwanza Rommy hakuwa Clouds FM bali Clouds TV! Clouds TV ilianza kuwa hewani mwishoni mwa mwezi november 2009, takribani miezi 6 tangu Nenda Kamwambie iwe hewani na kuwa imeshabamba tayari! In addition, labda tutumie ile akili ya kawaida tu! Kumbukumbu zangu ni kwamba Rommy alikuwa Clouds TV mwaka 2010 mwanzoni... but anyway, tufanye alianza hiyo hiyo November 2009! Hivi kweli inawezekana mtu ambae ndo kwanza ameingia Clouds tena akiwa bado bwana mdogo huku akiwa amekuta wakongwe pale lakini pamoja na yote hayo bado akawa na uwezo wa ku-influence charts za Clouds!!! Does it make any sense? Labda kama alizipa promo nyimbo zingine, Mbagala in particular lakini Nenda Kamwambie, HELL NO! Rommy ameingia Clouds wakati Nenda Kamwambie tayari imeshakuwa habari ya mjini!!!! Wengi walianza kumfahamu Rommy kupitia video ya Mbagala tena majority walikuwa hata hawafahamu who's the hell the guy is! Mbagala ilitoka baada ya Nenda Kamwambie kuwa imefanya vizuri ile mbaya!
 

Romy ni swahiba wa mchomvu kitambo na alikua pale clouds kitambo kama deiwaka tu kabla TV haijazinduliwa. Wao ndio waliokuwa wa mwanzo kufanyiwa majaribio ya kutangaza kwenye TV kabla TV haijazinduliwa rasmi hii naikumbuka vizuri. Sasa sijui kisichowezekana ku influence kitu gani hapo? Anashinda hapo redio na ana swaiba aliyeshikiria chati za bongo fleva. Mpeni jamaa credit zake haitapunguza au kuongeza chochote
 
maixha ni mxumari wa moto....ila inapofka inxhu ya ukwel 2ciwe mazandiki na unafk
 
Baada ya hayo maelezo yako nimelazimika kuiangalia hiyo video ya mahojiano! Refresh your memory... ni lini Clouds TV ilikuwa hewani? Ni lini Nenda Kamwambie ilitoka? Kwenye dakika ya 16:25 Sporah anamuuliza Rommy "Hapo Diamond alikuwa sio mtu yeyote?"

Kumbuka amemuuliza hili swali baada ya Rommy kutoa maelezo kwamba, baada ya kufanyiwa interview hapo hapo akalamba kazi Clouds TV lakini baada ya muda mambo yaakanza kuwa si mambo baada ya kuanza kuja wafanyakazi ambao walipitia audition, mara kinatokea hiki mara kile.... n.k! Remember, Clouds TV ilianza mwishoni mwa November 2009 na kuwa active ilikuwa 2010... kwahiyo hapo unaweza ku-approximate hayo inaweza kuwa yalitokea wakati gani! Na haishangazi, Rommy mwenyewe anaeleza kwamba, alianza hiyo kazi mwaka 2010 au 2009 mwishoni! Akili ya kawaida haishawishi kwamba ilikuwa 2009 coz' haiwezekani, kuanza na kuanza mara matatizo yanatokea kwahiyo kauli yake kwamba ilikuwa 2010 inaweza kuwa ndiyo sahii!

Baada ya hilo swali ("Hapo Diamond alikuwa sio mtu yeyote?"),
Rommy anajibu: "Anh... Diamond, no!"
Sporah: "Diamond hapo ndo anakuona kwenye TV, mwanangu nitoe na mimi"
Rommy: "Diamond hapo ndo ana-struggle, mimi roho inaniuma mdogo wangu....... kipindi hiko mimi nakaa Kinondoni, yeye anakaa Tandale, nikenda kule, dah, hana mia... hana lolote!"

Now the question: Hivi kweli mtu ambae hadi 2010 inaingia hana lolote, hata mia hana na ndo kwanza ana-struggle halafu mara: Does it make any sense mtu ambae hadi 2010 inaingia hajulikani, hata 100 mfukoni hana na ndo kwanza ana-struggle lakini March 25, the very same year anakuwa nominated KTMA na kushinda tunzo tatu na kuweka historia???!!! And don't forget, Mbagala ilianza kuonekana on TV April 2010 wakati huo Kamwambie imesha-hit tayari na ndio maana nikasema, kama alifanya promo labda hiyo Mbagala lakini sio Kamwambie!
 
Ni namkubali dogo, kwanza anajitambua yeye na shida zake na alikotoka, pili hajihusishi kwenye starehe za kijinga zitakazo muharibia kazi, tatu halewi sifa, anazidi kuongeza bidii kila siku kana kwamba ndo anaanza maisha, nne anawathamini madansa wake alioanza nao zero, tano ameshika neno la mungu la kuheshimu mama yake. Hakika mungu akimpa maisha miaka kumi ijayo, ndo atakuwa msanii maarufu na tajiri namba moja afrika nzima.
 

BBC dira ya dunia mzee yuko ndani leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…