Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
[emoji23][emoji23][emoji23]Sure uko sahihi mkuu, au mtu ananunua hiyo Tv halafu anatumia deki ya Singsung kaweka CD ya DJ MURPHY iliyotafsiriwa. Bwana wee utapenda hako ka picha kanakotokea.
Naunga mkono ulichokiandikaUsije ukanunua UHD, 4K nk halafu channel yako ikawa TBC
Naomba kuelimishwa hii mkuuUmesahau hii: Kuliko kutumia gharama kwa kununua Smart Tv angalau unaweza kununua Tv ya kawaida (isio smart) then ukanunua na Tv box
Bongo wachache ndio wana HD kama Azam.Tv za bongo hazirushi vipindi vyake kwenye mfumo wa HD na FHD? Au mitambo ndiyo ile mitambo chakavu Ulaya?
Hio matangazo watakuwa wanarusha kwa 360p hahah!
Yale mapicha wanayoweka kwenye hizo TV madukani huwa wanarekodia na kamera gani?maana ni zaidi ya clear ni angavu mnooo lakini ukiichukua ukaja kuweka kwenye kingamuzi chako sasa!Mtu anatumia gharama kununua Tv HD au FHD au 4K halafu ana StarTimes au Azam. Bora uchukue 720 inatosha
4K FHD inafaa kwa waangalia movie na Dstv sana sana mpira.
Aisee yaani chaneli zote za bongo ni upuuzi tuHio matangazo watakuwa wanarusha kwa 360p hahah!
Ndio maana watu hujilipua na Dstv
Wanachukua zile zenye full hd.Yale mapicha wanayoweka kwenye hizo TV madukani huwa wanarekodia na kamera gani?maana ni zaidi ya clear ni angavu mnooo lakini ukiichukua ukaja kuweka kwenye kingamuzi chako sasa!
Na humo zipo chache mkuu..tbc, safari,wasafitv,etv,clouds plusNdio maana watu hujilipua na Dstv
Startimes ni takataka, ukiachana na ile channel ya Investigation Discovery (ID) channel zingine zote ni uchafu tu.Nimenunua Pinetech Nch 32 nikaunga kwenye Startimes aiseee nilihisi kama nimeibiwa nilichokutana nacho mpaka nilicheka kidogo niirudishe yaani Maruwiruwi kama yote.
Nikaunga DSTV aissee kitu HD safi kabsa.
tatizo mnazilisha tv upupu,Yale mapicha wanayoweka kwenye hizo TV madukani huwa wanarekodia na kamera gani?maana ni zaidi ya clear ni angavu mnooo lakini ukiichukua ukaja kuweka kwenye kingamuzi chako sasa!
Kama siyo dstv potezeaaNimenunua Pinetech Nch 32 nikaunga kwenye Startimes aiseee nilihisi kama nimeibiwa nilichokutana nacho mpaka nilicheka kidogo niirudishe yaani Maruwiruwi kama yote.
Nikaunga DSTV aissee kitu HD safi kabsa.
Hapo halotel 1500/=unalala ukimka movies zimejaaKibongo bongo kwa ving'amuzi vyetu inaweza isiwe ishu sana. Umesahau kuna sie wazee wa PC gaming, PS4 Pro na Xbox one X inasupport 4K. Pia unaweza kudownload video Youtube lakini tatizo unakuta video ya dakika 3 - 4 tu ina MB 800+ ila ndio quality yake si mchezo. Movie za 4K GB hadi 10.
Storage hapo pia ni unaijaza fasta.Hapo halotel 1500/=unalala ukimka movies zimejaa
39 kampuni ya boss 550000Je naweza kupata tv inch 40-43 kwa bajeti isiyozidi laki 6?