Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

I'm using LG Nanocell Tv (a.k.a Super UHD) inch 55. Nilichukua kwa 2.9 million

Ile siku nanunua nikiangalia ile hela yote nilivyoishikilia mkononi ilivyo nyingi mpaka roho ikaniuma. Ila nikafumba macho!

I like quality things, the Tv is realy beautiful in appearance and the quality is good.
Nabadili gia anganj
 
@Perimeter,uko vizur ,umetupa ujuzi ambao sio rahic kuelimishwa na hawa wauzaji TV..kila siku wanatudanganya .kuhusu TV.,na kutuuzia TV fake Bila kujua.
 
Back
Top Bottom