Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

Fahamu jinsi ya kuchagua TV nzuri itakayokufaa kabla hujanunua

Perimeter, Shukrani sana kwa somo zuri maana wengi tulikuwa hatuna uelewa wa ndani sana kuhusu hivi vitu.
 
Acha kutuvuruga bana, yaani watu wanagawiwa makande njaa zinauma, unapita na biriani.
Hahaha, nahamasisha.

Kuna TV ya 8K nilikuwa naangalia bei. Nikafikiri itakuwa $10,000 , ikizidi sana $20,000. Nikakuta $42,000. Bei hii lazima uwe mshefa wa nguvu. Kwa hiyo wote tunapigwa fimbo, usikonde ukifikiri hiyo Kiranga anaipata leo wala kesho. Zaidi, hamna 8K content kwa sasa. Zitapungua bei na muda na content itakuja. Labda tutanunua.
 
Mimi nilienda kununua Tv nikaambiwa Smart inch 49 milioni na laki 9, ambayo sio smart inch hiyohiyo ni milioni na laki 2. Nilichofanya nikanunua isiyo smart nikaenda Kariakoo nikanunua CPU kwa laki 3 na 50. sasa hivi naenjoy vizuri tu kuliko hata huyo mtu mwenye smart.
 
Sure uko sahihi mkuu, au mtu ananunua huo m TV halafu anatumia deki ya Singsung kaweka CD ya DJ MURPHY iliyotafsiriwa, bwana weee utapenda hako ka picha kanakotokea.
Nauliza wapi naweza pata kioo cha TCL 32 smart, TV yangu umevunjika kioo
 
Nauliza wapi naweza pata kioo cha TCL 32 smart, TV yangu umevunjika kioo
TCL ana share/nunua vioo kwa Samsung..tafuta dealer yeyote wa Samsung then muombe akutafutie hicho kioo utakipata kwa urahisi.
 
I'm using LG Nanocell Tv (a.k.a Super UHD) inch 55. Nilichukua kwa 2.9 million

Ile siku nanunua nikiangalia ile hela yote nilivyoishikilia mkononi ilivyo nyingi mpaka roho ikaniuma. Ila nikafumba macho!

I like quality things, the Tv is realy beautiful in appearance and the quality is good.
 
I'm using LG Nanocell Tv (a.k.a Super UHD) inch 55. Nilichukua kwa 2.9 million

Ile siku nanunua nikiangalia ile hela yote nilivyoishikilia mkononi ilivyo nyingi mpaka roho ikaniuma. Ila nikafumba macho!

I like quality things, the Tv is realy beautiful in appearance and the quality is good.
Unacheza game mkuu?
 
Perimeter, Niliwahi kununua Singsung nikaikonnect na Samsung Tv Smart. Picha iliyokuwa inatoka ilibidi niiweke stoo hiyo deki. Nilidhani ni feki kumbe sio. Sasa niulize swali japo nishatoka kwenye matumizi ya deki. Utajuaje uwezo wa deki when it comes to resolution issues?
 
Kama nipo offkey samahani. Mimi naomba kusaidiwa kufahamu bei ya Tv aina ya Rising inch 43.
 
Ninavyojua ama nilivyokariri Tv nzuri ni brand zifuatazo:
1. Sony
2. LG
3. Samsung
4. Hisense
5. TCL
 
Wadau naombeni kujua, hizi Smart TV kwenye matumizi ya internet bundle (MB) inakuaje? Nazo inakuwa na speed zinazotofautiana?
 
Back
Top Bottom