Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika nami nimejifunza vya kutosha sio kila tv ni ya kununua kama boss, arborder,lising mr uk
Hii inawezekana sikumbuki inaitwaje Ile accessory ila inawezekana 100%mkuu naomba kuuliza, Monitor ya computer inaweza kutumika kama screen ya kawaida kwa kuchomeka flash.ukitumia kifaa gani inaweza kufanya kazi?View attachment 1651752
Yani mpaka unaweza kuingia humu na huwezi kujiongeza kuuliza hili swali lako google.basi elimu yetu waTZ bado sana.Hili neno LED linamaanisha Nini?
Hili neno LED linamaanisha Nini?
Mimi nilitegemea kukutana na labda kampuni fulani Tv zao ni bora au Singsung pamoja na kuuzwa bei chee lakin zina ubora huu. Sijui nipo chaka mkaa?
Bado nasubiri majibu yenu.Kuna TV za SONY ni OLED sijui hizi inakuwaje.
Kuna TV za SONY ni OLED sijui hizi inakuwaje.
Vp kuhusu TOSHIBA brand?Iko wazi... samsung, Lg ,Sony malizia na wengine...simply buy genuine global brands
ND nn tv box toa elimu sio kila mtu ana access GoogleUmesahau hii: Kuliko kutumia gharama kwa kununua Smart Tv angalau unaweza kununua Tv ya kawaida (isio smart) then ukanunua na Tv box
[emoji86]Sure uko sahihi mkuu, au mtu ananunua hiyo Tv halafu anatumia deki ya Singsung kaweka CD ya DJ MURPHY iliyotafsiriwa. Bwana wee utapenda hako ka picha kanakotokea.
[emoji23][emoji23][emoji23]tv inch 65 huwa mnaangalia nini jamani?
Isije kua una tv kubwa kama hiyo Halafu unaangalia TBC .. lazima uone picha mbayaa