Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Now wanakaza game nyingi za kuanzia mwaka jana crack hakuna. Halafu Activition wameiremaster na call of duty MW2, ghost ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Now wanakaza game nyingi za kuanzia mwaka jana crack hakuna. Halafu Activition wameiremaster na call of duty MW2, ghost ndani.
Ztakuja tu.. Kuna watu kazi yao ndo hiyo tu.. Hata fifa walisema hivyo hivyo lakini ikawa cracked.. Kuna wachina hao kazi yao ni ku crack tu ma game..Now wanakaza game nyingi za kuanzia mwaka jana crack hakuna. Halafu Activition wameiremaster na call of duty MW2, ghost ndani.
Nmeona hizo remaster,,Now wanakaza game nyingi za kuanzia mwaka jana crack hakuna. Halafu Activition wameiremaster na call of duty MW2, ghost ndani.
Hapo kwenye hyo pic number 2 kwa juu nmeona km kuna american truck simulator, so hapo unachagua ucheze ets2 au ats c ndio?Kwa mfano kuna hii inatwa TS SE Tool, unaweza ukaedit profile yako unavyotaka na kumiliki hata garage zote za kwenye game ukitaka.. Cha msingi tu kabla hujatumia kwanza fanya delivery zile za mwanzo kama mbili hivi then unaenda kutumia hii.. View attachment 1409415View attachment 1409417
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa napenda mlio wake
Hiyo ni too ya kufanya modding tu.. So unaweza ukachange profile settings ya ets au ats ndo hapo unachagua..Hapo kwenye hyo pic number 2 kwa juu nmeona km kuna american truck simulator, so hapo unachagua ucheze ets2 au ats c ndio?
Renault, Benz na daf huwa zinavuma balaa hasa gear inapochange.. Sasa ukiwa unapiga manual ndo utazipenda..Huwa napenda mlio wake
Mm manual tu mzee af unaweka kwny subwoofer bac atar Mzee ukipiga stop engine kwny mteremko hehehehee km upo kitonga vile na ndnga ya BakhressaRenault, Benz na daf huwa zinavuma balaa hasa gear inapochange.. Sasa ukiwa unapiga manual ndo utazipenda..
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah safi sana huwa pia natafuta sn set up za ats kumbe unaweza fny hvyoHiyo ni too ya kufanya modding tu.. So unaweza ukachange profile settings ya ets au ats ndo hapo unachagua..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakustua cku unipige msasa jnc ya kufanyaHiyo ni too ya kufanya modding tu.. So unaweza ukachange profile settings ya ets au ats ndo hapo unachagua..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mkuu kweli au macho yangu
Haya maujanja ya kuweka nembo za kibongo unafanya mwnyw au
mi mwenyewe ni mwendo wa manual tu ndo unaifaidi game..afu uzuri wa manual uchukue engine ya kawaida tu hapo ngoma hadi ije ichanganye gia zinavyoingia mvumo unausikilizia tumboni tu..Mm manual tu mzee af unaweka kwny subwoofer bac atar Mzee ukipiga stop engine kwny mteremko hehehehee km upo kitonga vile na ndnga ya Bakhressa
poa poa haina shida..Ntakustua cku unipige msasa jnc ya kufanya
ni macho yako kabisa ..😅😅Hahahaha mkuu kweli au macho yangu
Wakuu mna maisha mazuri sana. Yaani Indonesia, Peru, Europe mnazijua sana.
Hivi nikiwa na Android naweza kupiga hiyo misele kwa kuinstall game zipi.
kcamp
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwny android ukijaribu kupakua apk ya ets2 inazingua yn inakuwa km imekubali zen uki install na kuifungua inafunguka km ets2 ya kwny pc lkn baadae inaleta msg [emoji116][emoji116][emoji116]cjui kwnn au ndo wizi tuMkuu kiukwel huu utam upo kweny pc tu..kwend android kuna vigame vya truck vyakiboya.. ila kweny pc utaenjoy mods hadi basi
Tafuta pc mkuu..upige misele urusi kwa bwana Putin
Sent using Jamii Forums mobile app
yeah sema hizi mod mwazilishi wake kuna jamaa alikuwepo humu ndani alizitengeneza mwaka juzi kama skosei wakati tupo ver ya kumi na kitu huko ila mi nikawa kila version ya ets mpya ikitoka nazifanya ziwe compact ziendane na version mpya maana sometimes huwa zinasababisha game ku crash.. hapo nazimalizia zote ziendane na v 2.36 then ntawapa link kwa anaetaka.Haya maujanja ya kuweka nembo za kibongo unafanya mwnyw au
Poa mkuu pa1 snyeah sema hizi mod mwazilishi wake kuna jamaa alikuwepo humu ndani alizitengeneza wakati mwaka juzi sjui wakati tupo ver ya kumi na kitu huko ila mi nikawa kila version ya ets mpya ikitoka nazifanya ziwe compact ziendane na version mpya maana sometimes huwa zinasababisha game ku crash.. hapo nazimalizia zote ziendane na v 2.36 then ntawapa link kwa anaetaka.
Kwny android ukijaribu kupakua apk ya ets2 inazingua yn inakuwa km imekubali zen uki install na kuifungua inafunguka km ets2 ya kwny pc lkn baadae inaleta msg [emoji116][emoji116][emoji116]cjui kwnn au ndo wizi tuView attachment 1416440View attachment 1416441