Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,584
- 1,393
🙄🙄🙄 mkuu mbona vipya ni vingi kwa mfano EURO TRUCK DRIVE [android] linafanana sana na ETS2 but huwezi kulinganisha na ETS2Ndo hivo tunatofautiana kwenye utaftaji,, Kumbuka game ni software tu haina kitu kipya, kama PES, FIFA, GTA SAN ANDREAS na mengine yapo kwenye android hili ETS 2 lina nini kipya,, ni maujanja ya kuliweka tuu
Tuendelee kuburudika,,mm kwangu naona kuna tofauti kubwa sana na Game za GTA, FIFA, Doom Collection etc
ETS-2 ipo Online na saa yoyote inabadilika lazima uwe na Key au upate Crack kwa wajanja
nakupa mfano wa hiyo picha ni ya Hondulandia, umesema umepark manual, hapo mm nimemaliza Root ypte na nimebakiza masaa 5h 25 mn hebu pakia na cheza km utafikisha mzigo mm najitoa kabisa ETS-2 NA humu jukwaani, kwani litakuwa km Game la watoto la FIFA 1998
naomba picha na Time remaining km mzigo umefika
View attachment 1452809
Ok hamna wasiwasi tuanzie hapoMkuu tuendelee kuburudikaaa
Iyo so simu ni PC naomba nieleweke wakuuOk hamna wasiwasi tuanzie hapo
inaplay version zote kuanzia 1.35 mpaka 1.37
Download hondulandia scs
kuja huku hondula mara moja ndo uendelee na hiyo map yakoIyo so simu ni PC naomba nieleweke wakuu
Yan nimepoteza mood na hizi map,, nakumbuka nilivo zimaliza puno peru na brazil map kwa zaidi ya 80% ndipo nikapoteza hamu ya kucheza map zingine ko niwie radhi tu nataka now nianze kushusha vioo tukuja huku hondula mara moja ndo uendelee na hiyo map yako
😂 😂 bila kuona vumbi mambo huwa nahisi hayaend kbsa 1 37 aka shusha vioo labda mwisho wa mwezi huuYan nimepoteza mood na hizi map,, nakumbuka nilivo zimaliza puno peru na brazil map kwa zaidi ya 80% ndipo nikapoteza hamu ya kucheza map zingine ko niwie radhi tu nataka now nianze kushusha vioo tu
Mimi ndo nalishusha apa, chapu naweka money and xps mods,, najikuta nina takribani bil 600,, na level flan ya mbaaaaaaali😂 😂 bila kuona vumbi mambo huwa nahisi hayaend kbsa 1 37 aka shusha vioo labda mwisho wa mwezi huu
uc sahau giant engine hp 3500- 4000Mimi ndo nalishusha apa, chapu naweka money and xps mods,, najikuta nina takribani bil 600,, na level flan ya mbaaaaaaali
Wazee wa Open Pipe,, kelele kama zoteuc sahau giant engine hp 3500- 4000
Hakuna ets2 ya simu...ok sawa,, but ets2 la kweny simu lipo, changamoto ni kwenye kuli-instal, nilifuatilia kwa jamaa flani wa kihindi kupitia Youtube anaonyesha anavoliweka lakini mimi nilikwama kwenye kipengele cha ku-confirm kwamba mimi sio roboti jambo ambalo nilishindwa hadi sasa nacheza kwenye PC tu
Projects | SCS SoftwareHakuna kitu kama hicho mkuu, mm nilidowload na nika install kwny cm na likagoma, pia nilifatilia kila kitu alichosema huyo jamaa muhindi lkn haiwezekani mkuu, pia you tube kuna tutorial inaonesha kwamba hakuna ets2 ya kwny cm.
Swala ni hakuna ets2 ya simu...zipo simulator nyingine mbadala..lakin sio ets2Ndo hivo tunatofautiana kwenye utaftaji,, Kumbuka game ni software tu haina kitu kipya, kama PES, FIFA, GTA SAN ANDREAS na mengine yapo kwenye android hili ETS 2 lina nini kipya,, ni maujanja ya kuliweka tuu
mkuu tuendelee kuburudika...Swala ni hakuna ets2 ya simu...zipo simulator nyingine mbadala..lakin sio ets2
Projects | SCS Software pita site yao hii hapo hakuja project ya Android...hivi uta simulate goba kweny simu kwel?[emoji3]
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
nilikuwa namuelewesha aliyesema,
wataalam humu wamesema tunacheza na PC sio simu za mikononi (android) pia nimemuelewesha kwa sasa tupo version ya 1.36 & 1.37
sasa hayo Mabasi yapo Version ya 0.90
kwa hiyo majibu anayo kilwakivinje anaplay kwa PC au Android?
Sawa..utanikuta brazil nimepackmkuu tuendelee kuburudika...
Mi additional map sina mood nazo kabisa,, labda tukutane czech republic uko au scandinavian countries huko
Wala usiende Brazil wala RussiaMimi ndo nalishusha apa, chapu naweka money and xps mods,, najikuta nina takribani bil 600,, na level flan ya mbaaaaaaali