Hahah dah nmekula mzinga kwel..yan kuna sehem nikipita game inacrash kudadeq...natafuta bypass ya hii sehem...gari inanesa hatarkatika pita pita zangu huku siberia nimekutana na kcamp katelekeza truck lake
Solution ni nn? Mana unaanza route fresh ukifka sehem tu game ina crash..mbaya zaid unakuta hakuna bypass karbuhauko mwenyewe mkuu hata mimi game lilikuwa lina crash ile mbaya. ila nimesha tatua tatizo
Nilianza 1.38 lock kisha map 1 hadi 7zile file uli zipangaje?
Mie mashine nyepes tu...sema ndo utashangaa gari imeganda ghafla kisha game inajifungamatatizo ni kama haya. yaani mashine inakuwa nzito mpaka uzime alafu ndo uwashe upya
Duh poa mzee lemme do that nioneSASA BADILISHA KWANZA IANZE NAMBA 6,5,4,3,2,1 MWISHO HIYO LOCK 1.38... USIWEKE NAMBA 7
Hii haijawah kutokea wala haitokuja...hii map nuksi sana[emoji119][emoji119][emoji91][emoji91]ILA MZEE BABA HII NI RAMAN YA KARNE WAINDONESIA WAJIPANGE
vip mkuu ulifanikisha? na vip game kwa sasa hali clash?Hii haijawah kutokea wala haitokuja...hii map nuksi sana[emoji119][emoji119][emoji91][emoji91]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Nimetest jana kam kawa kuna sehem nikifika inacrash....au sitakiw kuadd hata zile extras mod zake? Mana nikaongeza tandam mod ile na nyingne moja ina picha ya malory ya bluevip mkuu ulifanikisha? na vip game kwa sasa hali clash?
daaah mbona huo ushakuwa msala. .... jana ilinutokea tena hiyo inshu ikabidi nizame you tubekwa goba harisi....nilichokigundua ni kuwa yaani desable all DLC. sasa kaz ni kwako maana mimi nishafanya hivyo na nikatest kidogo naona nime faulu ie sehemu iliyokuwa inasumbuaNimetest jana kam kawa kuna sehem nikifika inacrash....au sitakiw kuadd hata zile extras mod zake? Mana nikaongeza tandam mod ile na nyingne moja ina picha ya malory ya blue
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Hebu ngoja nijarbudaaah mbona huo ushakuwa msala. .... jana ilinutokea tena hiyo inshu ikabidi nizame you tubekwa goba harisi....nilichokigundua ni kuwa yaani desable all DLC. sasa kaz ni kwako maana mimi nishafanya hivyo na nikatest kidogo naona nime faulu ie sehemu iliyokuwa inasumbua
Ile 1.38 lock sindo imedisable dlc tayar? Mana goba bila kudisable dlc huchezidaaah mbona huo ushakuwa msala. .... jana ilinutokea tena hiyo inshu ikabidi nizame you tubekwa goba harisi....nilichokigundua ni kuwa yaani desable all DLC. sasa kaz ni kwako maana mimi nishafanya hivyo na nikatest kidogo naona nime faulu ie sehemu iliyokuwa inasumbua
Huu mji gan..mana mie miji miwil yte nikianza drive ina crash barabaran...dah inebid jana nishushe southern region tu...na nna mpango nirud 1.36 nimchape goba vzur...mana kule hakukua nacrash kama za 1.38iv unaanzaje kuchoka!!!
mkuu hii mij ya russia nashindwa hata kuitamka. na nimefika huku baada ya ku lock hizo dlc. ilamkuu hii ramani ya goba kuna kitu kimenishangaza.Huu mji gan..mana mie miji miwil yte nikianza drive ina crash barabaran...dah inebid jana nishushe southern region tu...na nna mpango nirud 1.36 nimchape goba vzur...mana kule hakukua nacrash kama za 1.38
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app