Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Hatari! Mimi huwa naunganisha na subwoofer, napiga moto halafu nazima, basi linazima kama mashine yenyewe kabisa linavyotikisika na kupumua pale mwishoni. Huwa nikifika kwenye mataa naheshimu kama nimeshikilia ndinga kabisa.
😬 😬 😬 😬 daah heli yako unae heshimu hizo taa mi huwa naunga moja kwa moja haswa nikiwa nimechelewesha mzigo
 
Na tunakua na uwezo wa kujuana kabisa kwamba hapa nmepisha na jamaa ang
NDIYO YAANI KILA KITU kwa mfano hapa nilikuwa na sijui nini..... na kwa baadae nikawa na hans mapunda
 

Attachments

  • ets2_20200803_112313_00.png
    ets2_20200803_112313_00.png
    1.5 MB · Views: 1
  • ets2_20200803_113654_00.png
    ets2_20200803_113654_00.png
    1.4 MB · Views: 1
  • ets2_20200802_093231_00.png
    ets2_20200802_093231_00.png
    1.1 MB · Views: 1
  • ets2_20200802_091349_00.png
    ets2_20200802_091349_00.png
    1,013.5 KB · Views: 2
Wakuu computer yangu inazima nikicheza hii game,harafu wakati wa kuiwasha inanipa message ambayo nimeambatanisha screen shot hapo ,lakini pia nimeambatanisha NA properties za computer,embu nisaidieni tatizo nn?
JPEG_20201028_224605_760886676.jpg
IMG_20201028_223927.jpg
 
Back
Top Bottom