Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Hatari! Mimi huwa naunganisha na subwoofer, napiga moto halafu nazima, basi linazima kama mashine yenyewe kabisa linavyotikisika na kupumua pale mwishoni. Huwa nikifika kwenye mataa naheshimu kama nimeshikilia ndinga kabisa.na kuna mnyama VOLVO GROBETROTER HP 750 WE HIKI CHUMA NI SHIDA